Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,169
umetokea kwenye njaa ya akili sana.
Mama katibu mkuu my foot, olewa na nyumba yenu sasa, umefuata nini kwa mwanamme??
Mpe vipande vyake Kongosho, huyu ni sawa na wanaume wengine wanaoa alafu yupo busy na kutafuta hela mpaka wanasahau majukumu ya nyumbani ya unyumba alafu akichezewa faulo anaanza kulia huku akimwambia mwanamke NIMEKUNUNULIA GARI, NYUMBA NI NZURI TUNAYOISHI pia CHAKULA KIZURI NA CHOCHOTE UNACHOTAKA NAKUPATIA amesahau maisha ya ndoa ni zaidi ya mali kwani kama chakula, nyumba hata kwao vilikuwepo. Huyu anajua ndoa ni hela na zikikatika maana yake suala la kujipanga kutafuta upya halipo, inabidi ajiulize kwanini watoto mnaweza kuwa tumbo moja lakini mkawa kimaisha mmetofautiana hata kama wote mmefanikiwa.
Last edited by a moderator: