HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Pole sana! But kumbuka maisha ni safari, kuna kupanda na kushuka!
Hapo nilipo underline LIKE LIKE LIKE!
Pole sana! But kumbuka maisha ni safari, kuna kupanda na kushuka!
Ofcuz tutalisikia tu cuz vilaza wa mule ndani lazima watume salaam kwa kila mwanakaya wao so you'll be remembered and mentioned..period..!!Naitwa Natalia soon mtasikia jina langu bungeni.
Mama yako aliamka asubuhi akajikuta ni katibu mkuu akafunga ndoa na baba yako na kukuzaa wewe?
Grow up binti, kuwa katibu mkuu sio pesa, ukiona baba yako ni katibu mkuu baba waziri na mnaishi maisha ya kifahari ujue wazazi wako ni mafisadi na wala rushwa, mishahara ya ukatibu mkuu ni ya kawaida tu........
Inasikitisha kuona wazee wako wamestruggle kukwapua huku na kule ili uwe na maisha mazuri ila wamesahau kukufunza maisha, wamesahau kukufundisha kupambana.........
Umeolewa kwa kudanganyika na mali za mwanaume, matokeo yake umekosa mahaba na mapenzi ya dhati umeishia kuwa frustrated.....
Hakuna raha kama mwanamke uisimamisha mjengo wako..... Hakuna raha kama ukinunua usafiri wako na kusema i did it.....
Na hakuna raha zaidi kama mke na mume mnapppambana na kujenga kijipalace chenu........ Whoooa mnajisikia haswa.... Too bad huwezi jua how good it feels...
Binti, wenzzio hawaolewi kwa kuwa mwanaume ana gari na nyumba, wanaolewa kwa kuwa wanapendana, hapo wanaishi maisha ya raha stressfree, na mmoja akianguka wanashika mikono na kusimama pamoja....
Pole sana Natalia, nakuhurumia sana....but wewe bado ni mdogo unaweza rekebisha hilo.........
Nipo kwenye ndoa starehe sio uvumilivu
Awe ameshajenga anagari na pesa.a men is the head of house hold
Awe ameshajenga anagari na pesa.a men is the head of house hold
True that mtu mzima,dizaini kapigwa chini kwasababu ni "GOGO"Mnajisumbua bure....huyo thread zake hazina kichwa wala miguu...hajielewi kabisa
babu Dark City uko wapi mkuu,unamuona huyu binti?hivi binti kama huyu umeshamuoa uko naye ndani ndio analeta mambo haya si utalaani hata ndoa zenyewe kwanini zipo?kuoa binti kama huyu ni ajali kubwa aheri mara 100 ugongwe na treni!
Umenisaidia kuzungumza, Lol!
Kama ningekuwa mbaya mume wangu angebakia humu ndani .mimi Natalia bwana nimezaliwa wazazi wangu wana masters.wamenisesha nursery school mpaka college USA .sijazoea shida,aliponioa alikuwa anakazi na pesa hana kazi solishiwe natalia,we ni mzuri?unalipa?kama wewe ni mzuri,umetokea well off family maana yake unakutana na watu ambao nao wako well off imekuwaje ukaolewa na mtu ambaye hana hata nyumba na kazi kafukuzwa?hujakutana na wenye pesa?au umekutana nao wakaona hauna thamani sio ya kukaa ktk nyumba zao hata kupiga deki hustahili?jiangalie kama unafanania na mahitaji unayotaka toka kwa mwanaume NAHISI HUNA MVUTO KABISA wenye pesa kama kina Bishanga wangeshakuona!
Wazazi wangu matajiri kabla ya kufanya kazi serikalini,
Kama ningekuwa mbaya mume wangu angebakia humu ndani .mimi Natalia bwana nimezaliwa wazazi wangu wana masters.wamenisesha nursery school mpaka college USA .sijazoea shida,aliponioa alikuwa anakazi na pesa hana kazi solishi
pesa zingu naweka bankwatakurisisha utajili wa mali ila utajiri wa akili hutoupata......
karne hii watu hawajisifu kwa mali za wazazi....
Mtu anajisifu kwa mali zake alizozitolea jasho....
Nafanya kazi pesa naweka bank
Sio gari ya mama
nyumba ya baba...
Shamba la wazazi.... Wakifa mnaishia kuchinjana kugombea urithi
mi siamini kama wewe ni mzuri,naona hauna thamani unayodhani unayo ndio maana umekosa mwanaume wa kukutunza vema,unajua sisi wanaume wajanja sana tukiona huna mvuto na tuna hela hatukufuati!Natalia huna mvuto acha ubishi
Nashukuru kusikia hivyo ma dia. Nafikiri kuanzia mwenzi ujao nitakuwa free sana. Tutarudie hali yetu ya zamani. But vurugu sitakiiii
Awe ameshajenga anagari na pesa.a men is the head of house hold
pesa zingu naweka bank
Mara nyingi watu wenye mawazo ya kimaskini huwa na fikra kama zako! Jiulize kuna ubaya gani kama mwanamke akiwa na vyote ulivyovitaja na mwanaume hana? Wise up!