Wanawake: Mume ghafla anaanza kukosoa chakula chako………!

heheheheheheh Mtambuzi, waambie wenye wakwe na mawifi watata wasijaribu zoezi hilo....




Lakini pia sio vibaya kama mkijaribu kuwashirikisha kupika waume zenu kwani mchuzi ukichachuka, hakuna lawama hapo.....

black-man-cooking.jpg


 
Last edited by a moderator:
heheheheheheh Mtambuzi, waambie wenye wakwe na mawifi watata wasijaribu zoezi hilo....

Mie niliwataarifu ndugu zangu mapemaaa kabla sijaoa kwamba sitaki majungu wala ushirikina nyumbani kwangu.......
Kwa taarifa yako mie hata NAZI ninaikuna vizuri sana, na kama nikipika mboga mama Ngina anasonga ugali au vaisi vesa.......
 
safi sana, halafu hiyo inaongeza mapenzi mno, na mna-bond vizuri na mamsap....

ila ndugu uwiiiiiiiiii, heri ulivyowapiga biti mapema.......

maana hawachelewi kumwesabia mkeo makosa...hahahah maisha haya, very funny




Mie niliwataarifu ndugu zangu mapemaaa kabla sijaoa kwamba sitaki majungu wala ushirikina nyumbani kwangu.......
Kwa taarifa yako mie hata NAZI ninaikuna vizuri sana, na kama nikipika mboga mama Ngina anasonga ugali au vaisi vesa.......
 
safi sana, halafu hiyo inaongeza mapenzi mno, na mna-bond vizuri na mamsap....

ila ndugu uwiiiiiiiiii, heri ulivyowapiga biti mapema.......

maana hawachelewi kumwesabia mkeo makosa...hahahah maisha haya, very funny
BADILI TABIA Ukiona ndoa ninayumbishwa na ndugu, basi ujue huyo mume hana msimamo.
Mwanaume ni lazima uwe na mamlaka kwenye TERRITORY yako, yaani aje ndugu sijui katoka wapi huko eti ananibania pua...."Mkeo yuko hivi au yuko vile.." Thubutuuu, nitamuonyesha njia aliyojia ili achape mwendo. mke wangu sio wa shirika wala wa ubia, na kwa kulijua hilo, mimi sikutaka kuchangiwa sijui mahari wala kitchen Party wala harusi..... Nilichanga hela zangu nikawaalika tu kuja kula kisha wakatambaa, walibaki wakilalamika eti sikuwashirikisha.... ha ha ha haaa ili iweje? ili kesho waje waseme eti ndio walioniozesha mke....! Wengine eti walilalamika kwamba wamechangia sana harusi za wenzao, sasa kama ningewashirikisha wangechangiwa na wao hivyo ningepata michango mingi na hivyo ningefanya harusi kuuubwa.... Mimi siamini katika kuchangiwa, nilikomaa mwenyewe, na ndio maana sitaki na kamwe sitamchangia mtu harusi wala send off.......
 
Last edited by a moderator:
bora wewe una msimao na ulidhibiti mapema, kuna watu wako kweny ndoa mpaka unashangaa, zinakuwa controlled na remote...

ila ndugu wengine hata ukichimb mkwara watakuchimba tu....tena unakuta undugu wenyewe wa treni behewa la mwisho huko anataka kupanga masharti nyumbani kwako.....

loh kwa kweli mie nawaambia kwangu utakaa kwa sheria na kanuni zangu, hutaki timka...

ila unajua Mtambuzi ndoa inayosimama imara ni ile ambayo mwanaume hayumbishwi?
na unajua kuwa wazazi especially mama wa mwanaume ana uwezo mkubwa wa kuvunja ndoa? kama mwanaume hajasimama imara na kama mama ni mtata?

ila baba mkwe wengi wanakuwa hawana noma, sijui sisi wanawake tukoje, naombea nitakapozeeka nisije kuzeeka vibaya na kusababisha migogoro kwenye ndoa za vijana wangu loh......



BADILI TABIA Ukiona ndoa ninayumbishwa na ndugu, basi ujue huyo mume hana msimamo.
Mwanaume ni lazima uwe na mamlaka kwenye TERRITORY yako, yaani aje ndugu sijui katoka wapi huko eti ananibania pua...."Mkeo yuko hivi au yuko vile.." Thubutuuu, nitamuonyesha njia aliyojia ili achape mwendo. mke wangu sio wa shirika wala wa ubia, na kwa kulijua hilo, mimi sikutaka kuchangiwa sijui mahari wala kitchen Party wala harusi..... Nilichanga hela zangu nikawaalika tu kuja kula kisha wakatambaa, walibaki wakilalamika eti sikuwashirikisha.... ha ha ha haaa ili iweje? ili kesho waje waseme eti ndio walioniozesha mke....! Wengine eti walilalamika kwamba wamechangia sana harusi za wenzao, sasa kama ningewashirikisha wangechangiwa na wao hivyo ningepata michango mingi na hivyo ningefanya harusi kuuubwa.... Mimi siamini katika kuchangiwa, nilikomaa mwenyewe, na ndio maana sitaki na kamwe sitamchangia mtu harusi wala send off.......
 
Last edited by a moderator:

4. kama kuna mahali amepata anakula huko asema na mie nitafute pa kula {yes, najiua kuna watu watapinga hili...lakini sometimes usipokuwa bandidu, mwanaume atakutia presha, sometimes you have to learn your lesson a hard way...}

Hiyo no.4 umenikumbusha ule usemi ambao huwa siupendi kwamba dawa ya moto ni moto ....wakati kumbe dawa ya moto ni maji
 
woman-disgusted-with-her-man-.jpg


Nimechoshwa na aina ya vyakula unavyopika humu ndani, sasa hiki ni kitu gani.......!

Inawezekana chakula kikawa na kasoro ndogo tu ya kawaida ambayo siku za nyuma alikuwa wala haisemi mpaka wewe mwenyewe umweleze kuwa chakula leo kimezidi chumvi kidogo au kina kasoro fulani, na yeye kwa upendo anakujibu tu kwamba siku hazilingani na maisha yanaendelea.

Lakini inatokea ghafla tu mumeo au mpenzi wako anaanza kukosoa chakula chako kwa njia yenye kukera. Tabia hiyo siyo ya siku moja, inakuwa ndio tabia yake. Karibu kila siku haridhishwi na aina ya vyakula unavyompikia.Nawaomba wanawake wanipe uzoefu wao katika jambo hili........

Je utafanyaje iwapo utakutana na kisirani hiki.......................?
Kuna kitu kingine pia... Hupendezwi na chakula lakini hujapata namna nzuri ya kufikisha ujumbe.. Wakati mwingine House girl anapika vizuri na unaona tofauti na kile anachopika Mkeo... Unabaki dillemma huku ukiogopa kusababisha tafrani si unajua kina mama wengine, atanuna wiki zima
 
sasa Mtambuzi umenichokonoa yaani nyongo imesha tumbuka naomba MODS MSINIPE BAN ILA mniruhusu niwachambe hawa wababa wa aina hii na hapa nasema kwa hasira sana manake siku zote muhanga wa hili ni mwanamke.

Jmanai wababa msiopenda kula majumbani mwenu ama mkirudi mnarudi na gubu ili tu usiweze kula useme sijui menu mbaya ama sijui nimekwazika ni wapumbavu sana. Hivi huko mnakokula mnajua lakin wanachokifanya? jamani mnalishwa uchafu sana ma limbwata ndipo yanapowapata yaaani unakuta watu mnalishwa hadi nyama za maiti mkirudi nyumbani mnawaona wake zenu kama kinyesi na kuona wanawanukia kama choo lol!

jamani tuseme siye tulioko humu jamvini jamania walioko majumbani wanateseka sana sana.wanaowatesa na hawa ma ma belzebuli ambao ni washirikina halafu wanategemea ulonzi tu. to me hawa wnaume yaani wananichefua hadi hasira. nina mama jiran yangu hapa mume anamuona kama choo god forbid halafu utasema wanaume ni watu wa kuonewa huruma? yaani nyie hadi mfie kwa makahaba ndipo mtakapo jua kwamba kisamvu kitam ni cha mpira. tena nisiendelee naweza kujaza kurasa kwa hasira , aaaaaaaaaaaaaaaaaaaggggggggggggggggrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
gfsonwin njoo kitandani sasa...okay?
 
Last edited by a moderator:
waswahili husema 'ukiona manyoya jua kaliwa huyooo' kwa kweli uzoefu wangu wa miaka 20 ya ndoa najua ukiona mwanamume ameanza kukosoa chochote (si chakula tu) ambacho awali alikuwa anakiona sawa ujue anakulinganisha na mwingine ! kama ni chakula jua wazi kuna mahali anapikiwa msosi mzuri kuliko wa kwako, tena mahali hapo si hotelini ni kwa hawara tu, kuna vitu kama kukosoa mavazi yako, style za nywele, unaona anakuwa hayuko comfortable na wewe kuwa karibu nae hasa mnapokuwa nje ya nyumbani, anaanza kuona hata maongezi yako kama yanambore hivi, jua tu kuna mwenzako anaemfurahisha zaidi. na wewe ukilijua hili, mrahisishie kazi mueleze ukweli ajue kuwa umemgundua!
 
Comment kama hizo zinaondoa hata hamu ya kukaa mezani! Wanaume inabidi kubadilika, at least kuvumilia na kuyasema yaliyo moyoni baada ya mlo.Kwanza, kuandaa chakula siyo kazi nyepesi hata kidogo, hili lipo dhahiri. Mara kitunguu kiingie machoni nk. Hivyo aliyekiandaa anajisikia vibaya saaaaaaaaaaaaaaaaaana!!!!!!!!!! Subira ni nzuri.
 
Kuna kitu kingine pia... Hupendezwi na chakula lakini hujapata namna nzuri ya kufikisha ujumbe.. Wakati mwingine House girl anapika vizuri na unaona tofauti na kile anachopika Mkeo... Unabaki dillemma huku ukiogopa kusababisha tafrani si unajua kina mama wengine, atanuna wiki zima

Binadamu hatujaweza kukubali ukweli!
 
......hiyo ni dalili kuwa anaterezaaaa
so utaamua mwenyewe cha kufanya inategemea na mahusiano yenu yapo veepee....
Mtambuzi una vijimambo weyeeee...........
 
Lakini pia sio vibaya kama mkijaribu kuwashirikisha kupika waume zenu kwani mchuzi ukichachuka, hakuna lawama hapo.....

black-man-cooking.jpg



Hivi hizi picture wana act au inakuwaje? Tatizo la picture kama hizi zinaharibu sana vijana, wakiangalia hivi wanataka maisha kama haya, kumbe ni maisha ya picha tu... inabidi wawe wanasema jamani ni picha tu....
 
Back
Top Bottom