BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
heheheheheheh Mtambuzi, waambie wenye wakwe na mawifi watata wasijaribu zoezi hilo....
Last edited by a moderator:
heheheheheheh Mtambuzi, waambie wenye wakwe na mawifi watata wasijaribu zoezi hilo....
Mie niliwataarifu ndugu zangu mapemaaa kabla sijaoa kwamba sitaki majungu wala ushirikina nyumbani kwangu.......
Kwa taarifa yako mie hata NAZI ninaikuna vizuri sana, na kama nikipika mboga mama Ngina anasonga ugali au vaisi vesa.......
BADILI TABIA Ukiona ndoa ninayumbishwa na ndugu, basi ujue huyo mume hana msimamo.safi sana, halafu hiyo inaongeza mapenzi mno, na mna-bond vizuri na mamsap....
ila ndugu uwiiiiiiiiii, heri ulivyowapiga biti mapema.......
maana hawachelewi kumwesabia mkeo makosa...hahahah maisha haya, very funny
BADILI TABIA Ukiona ndoa ninayumbishwa na ndugu, basi ujue huyo mume hana msimamo.
Mwanaume ni lazima uwe na mamlaka kwenye TERRITORY yako, yaani aje ndugu sijui katoka wapi huko eti ananibania pua...."Mkeo yuko hivi au yuko vile.." Thubutuuu, nitamuonyesha njia aliyojia ili achape mwendo. mke wangu sio wa shirika wala wa ubia, na kwa kulijua hilo, mimi sikutaka kuchangiwa sijui mahari wala kitchen Party wala harusi..... Nilichanga hela zangu nikawaalika tu kuja kula kisha wakatambaa, walibaki wakilalamika eti sikuwashirikisha.... ha ha ha haaa ili iweje? ili kesho waje waseme eti ndio walioniozesha mke....! Wengine eti walilalamika kwamba wamechangia sana harusi za wenzao, sasa kama ningewashirikisha wangechangiwa na wao hivyo ningepata michango mingi na hivyo ningefanya harusi kuuubwa.... Mimi siamini katika kuchangiwa, nilikomaa mwenyewe, na ndio maana sitaki na kamwe sitamchangia mtu harusi wala send off.......
4. kama kuna mahali amepata anakula huko asema na mie nitafute pa kula {yes, najiua kuna watu watapinga hili...lakini sometimes usipokuwa bandidu, mwanaume atakutia presha, sometimes you have to learn your lesson a hard way...}
Kuna kitu kingine pia... Hupendezwi na chakula lakini hujapata namna nzuri ya kufikisha ujumbe.. Wakati mwingine House girl anapika vizuri na unaona tofauti na kile anachopika Mkeo... Unabaki dillemma huku ukiogopa kusababisha tafrani si unajua kina mama wengine, atanuna wiki zima
Nimechoshwa na aina ya vyakula unavyopika humu ndani, sasa hiki ni kitu gani.......!
Inawezekana chakula kikawa na kasoro ndogo tu ya kawaida ambayo siku za nyuma alikuwa wala haisemi mpaka wewe mwenyewe umweleze kuwa chakula leo kimezidi chumvi kidogo au kina kasoro fulani, na yeye kwa upendo anakujibu tu kwamba siku hazilingani na maisha yanaendelea.
Lakini inatokea ghafla tu mumeo au mpenzi wako anaanza kukosoa chakula chako kwa njia yenye kukera. Tabia hiyo siyo ya siku moja, inakuwa ndio tabia yake. Karibu kila siku haridhishwi na aina ya vyakula unavyompikia.Nawaomba wanawake wanipe uzoefu wao katika jambo hili........
Je utafanyaje iwapo utakutana na kisirani hiki.......................?
gfsonwin njoo kitandani sasa...okay?sasa Mtambuzi umenichokonoa yaani nyongo imesha tumbuka naomba MODS MSINIPE BAN ILA mniruhusu niwachambe hawa wababa wa aina hii na hapa nasema kwa hasira sana manake siku zote muhanga wa hili ni mwanamke.
Jmanai wababa msiopenda kula majumbani mwenu ama mkirudi mnarudi na gubu ili tu usiweze kula useme sijui menu mbaya ama sijui nimekwazika ni wapumbavu sana. Hivi huko mnakokula mnajua lakin wanachokifanya? jamani mnalishwa uchafu sana ma limbwata ndipo yanapowapata yaaani unakuta watu mnalishwa hadi nyama za maiti mkirudi nyumbani mnawaona wake zenu kama kinyesi na kuona wanawanukia kama choo lol!
jamani tuseme siye tulioko humu jamvini jamania walioko majumbani wanateseka sana sana.wanaowatesa na hawa ma ma belzebuli ambao ni washirikina halafu wanategemea ulonzi tu. to me hawa wnaume yaani wananichefua hadi hasira. nina mama jiran yangu hapa mume anamuona kama choo god forbid halafu utasema wanaume ni watu wa kuonewa huruma? yaani nyie hadi mfie kwa makahaba ndipo mtakapo jua kwamba kisamvu kitam ni cha mpira. tena nisiendelee naweza kujaza kurasa kwa hasira , aaaaaaaaaaaaaaaaaaaggggggggggggggggrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Kuna kitu kingine pia... Hupendezwi na chakula lakini hujapata namna nzuri ya kufikisha ujumbe.. Wakati mwingine House girl anapika vizuri na unaona tofauti na kile anachopika Mkeo... Unabaki dillemma huku ukiogopa kusababisha tafrani si unajua kina mama wengine, atanuna wiki zima