Hahahahaaaa SL si mchezo....atatoa yooote hadi ya nyumakaa chonjo nitonye!
Hahahahaaaa SL si mchezo....atatoa yooote hadi ya nyuma
mwanamke akikupiga basi wewe unatakiwa ustaafu uwanaume
Hahahahaaa samahani Nitty.wewe kamandaEmbu nitake radhi kwanza
Namtaka radhi ila ukweli ndio huo...lol hata wewe nina wasiwasiaya ricky mtake mwenzio iyo kitu aliosema!
Hahaha! Una akili sana wewe, hebu mleta mada toa huu uzi upesi kabla bishanga hajakuja, akilia hapa hakuna mtu wa kumbembeleza...Ngoja bishanga aje, atalia sana
maana unamkumbushia machungu
Unantaja mara nyingi kuliko unavyomtaja amyner...lol.Hahahahaaaa SL si mchezo....atatoa yooote hadi ya nyuma
Kongosho Bishanga kanipigia anasema akikukamata ama zako ama zake na ukiendelea kumfatafata atatoa siri yako eti kuwa wewe ni 'mwanamke'...samahani mie ni mjumbe na kama ujuavyo mjumbe huwa hauwawi.Ngoja bishanga aje, atalia sana
maana unamkumbushia machungu
Kongosho Bishanga kanipigia anasema akikukamata ama zako ama zake na ukiendelea kumfatafata atatoa siri yako eti kuwa wewe ni 'mwanamke'...samahani mie ni mjumbe na kama ujuavyo mjumbe huwa hauwawi.
Msg senti and delivadi....
nilikuwa nataka kulichuna libishanga
nikaificha moja
nikala kungumanga macho yakalegea kama mlenda
ila mindevu sikunyoa, nikamwambia mkorogo wa Italy ndo fasheni yake hiyo.
Kongosho Bishanga kanipigia anasema akikukamata ama zako ama zake na ukiendelea kumfatafata atatoa siri yako eti kuwa wewe ni 'mwanamke'...samahani mie ni mjumbe na kama ujuavyo mjumbe huwa hauwawi.
Msg senti and delivadi....
Hahaha! Una akili sana wewe, hebu mleta mada toa huu uzi upesi kabla bishanga hajakuja, akilia hapa hakuna mtu wa kumbembeleza...
afu huyo mkaka mbona anapigwa lakini kakumbatia?..