GFM
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 706
- 6
Mie ndo maana sikuachi, hebu pita huku nikupe ka-wine hahah LOLutumbo tuu kwa kweli.....
unamwamini rafiki yako kuliko mumeo....
mmhhh tumekwisha..
Mie ndo maana sikuachi, hebu pita huku nikupe ka-wine hahah LOLutumbo tuu kwa kweli.....
unamwamini rafiki yako kuliko mumeo....
mmhhh tumekwisha..
cooked up!mke kamtuma shogake amtest mumewe km ni mwaminifu. Mume alipostukia ni mtego akajiingiza line wakabadili hotel ambayo mkewe na shost walitaka wende akazma na cm za wote akalamba. Mke anahaha hajui wapo wapi. Shost wake kanogewa anataka tena!
Mie ndo maana sikuachi, hebu pita huku nikupe ka-wine hahah LOL
mke kamtuma shogake amtest mumewe km ni mwaminifu. Mume alipostukia ni mtego akajiingiza line wakabadili hotel ambayo mkewe na shost walitaka wende akazma na cm za wote akalamba. Mke anahaha hajui wapo wapi. Shost wake kanogewa anataka tena!
naomba na mimi waifu anitest. nina uhakika kabisa wa kupasi. dah kweli waaminifu tupo wachache sana.
mke kamtuma shogake amtest mumewe km ni mwaminifu. Mume alipostukia ni mtego akajiingiza line wakabadili hotel ambayo mkewe na shost walitaka wende akazma na cm za wote akalamba. Mke anahaha hajui wapo wapi. Shost wake kanogewa anataka tena!
Kati ya makosa ambalo siwezi kufanya ni hilo, yaani wacha bamsapu ajitest mwenyewe lkwa tamaa zake lakini mimi kumpelekea mzigo never, halafu ukute huyo shosti ukute toka zamani anamtamani mume wa mwenzie so kupata dili kama hilo akaona shetani ampe nini..
Hahah Sauvignon tu!? haya karibu, kuna na Martini na Baileys........hahahaha lol
mmmhh kwa kweli
asante mkuu lakini mie kama huna sauvignon Blanc
utanisamehe sichanganyi wine hahahah lol
lakini kama una nyeupe yeyote asante ...
Hahah Sauvignon tu!? haya karibu, kuna na Martini na Baileys........
wewe tu shindwa hahah
Balaaa lipi tena,mmmhhh jamani unanitamanisha nani
jumanne asubuhi jamani lol
mmmhhh
utaniingiza kwenye mabalaa mie...
hahaha lol
Balaaa lipi tena,
u got to be confident and happy when I am around............hahah LoL
hahah its now and you know who is for u, still worried?hhahahahhah lol
If I am not for myself, who will be for me? And if I am only for myself, what am I? And if not now -- when
Hapo nimekuelewa,lakini vipi kama mke wangu akikutuma kwangu, utakuja?
Hhahahaaa, yaani kakosa njia nyingine kabsaaaa... angemtumia hata housegirl ambaye angeweza kumbana aseme ukweli, sasa utakuta shosti yake hana mume, na ana mahitaji hayo, leo kapata hio penati, afanyeje kama sio kufunga??