King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
Afu hebu niulize hapa. Hivi kuna tofauti kati ya 'g-string' na 'tong'? Manake mume aliniambia nikanunue g-string, nimejitoa kimasomaso akaniambia hizo ni tong! Hebu m-nijuze na mie l'aziz wangu asije kwenda posta kushangaa malimwengu. Manati tunawindana humuhumu, nyumbani petu, lazima ani-pick for lunch japo mara mbili kwa wiki atii! Natanguliza shukrani!