Jerome
Senior Member
- Sep 9, 2009
- 144
- 10
jamani hamjui maana ya demokrasia ya mavazi?ndiyo hiyo basi,mbona wakaka mnatembea na singlet huku bush garden ikwa wazi?mnawakwaza sana ipo siku mtabakwa,au kuna wanaovaa bukta ndani bila kufuli na jinsi au suruali ya kubana mzigo unaonekana kabisa hasa ukiona g string au chachandu kwa mbali,basi nasi tiacheni