Msikitini huwa hawakai wanawake na wanaume sehem moja sa sijui imamu alipataje kuwaona hao wanawake??
Bora umemwambia...Msikitini huwa hawakai wanawake na wanaume sehem moja sa sijui imamu alipataje kuwaona hao wanawake??
Msikitini huwa hawakai wanawake na wanaume sehem moja sa sijui imamu alipataje kuwaona hao wanawake??
Mkuu umeleta kichekesho kizuri, lakini tukukumbushe kuwa wanawake na wanaume wanakaa vyumba tofauti msikitini.
Hainaa maana ! Labda ungesema Kanisani, Msikitini kuna nidhamu na kuna mipaka. Wanaposwali wanawake, mwanaume hawezi kufika wala kuwaona ! Jipange Mgalatia !imamu kawaambia wanawake mckitini,anaeteswa na mumewe kati yenu asimame,woote wakasimama kasoro mmoja tu kabaki amekaa. imamu akamwambia"mashaallah wewe huteswi na mumeo"? akajibu,"kanivunja miguu cwezi hata kusimama"!!!
Ndo hapo itabidi tujue maana ya jokes,maana angezungumzia uhalisia isingechekesha hata!labda niulize imamu wa kike anaitwaje?Mkuu umeleta kichekesho kizuri, lakini tukukumbushe kuwa wanawake na wanaume wanakaa vyumba tofauti msikitini.
Mzaha kwenye dini hakunaga, achaga hizo utakuja udondokewe uchapwe bakora.