Wanawake mnisaidie, elezeni kuhusu hili

hakuna kitu kama hicho, nakumbuka mama angu mdogo kazaa watoto wamefatana na mmoja akiwa na miezi mitan akawa mjamzito tena na doc akamwambia asiache kunyonyesha sababu haina uhusiano na mimba yake, sasa huwezi amini yule mtoto alitembea na miezi kumi tu, hakuna kitu kama hcho kabisa
 
majibu sahihi,
mwanamke anaweza kunyanya mapenzi salama akiwa mjamzito mpaka anapotimiza wiki 37 au 38, hili husaidia kufanya misuli yake kuwa flexible wakati wa kujifungua.lakini katika wiki tatu za mwisho nivizuri akaacha kwa sabau kuu mbili.
a) kufanya mapenzi hu husisha hormones(kiswahili chake sikumbuki), hizi hubadilisha chemical composition ya maziwa ambayo mtoto atanyonya(colostrum-mtahakiki spelling)ambayo ni muhimu kwa mfumo wa ilinzi wa mwili wa mtoto-Immunity ya mtoto.muda huu umeachwa ili maziwa yaliyo tayari kwa mtoto yajirudishe kenye hali yake ya kawaida(normal chemical composition)
b)mama mtarajiwa anahitaji kuwa fresh(siyo amechoka-physical exhaustion) kasababu kujifungua sikazi nyepesi,kama inavyosadikiwa ingawa ikikamilika salama wanawake wana sahau haraka sana ugumu wake.
 
Tafuta mti unaitwa mmalala chuma majani yake halafu yachemshe
uchanganye na majani ya Likanayuma ambayo yametwangwa bila
kuchemshwa halafu chemsha mizizi ya mnabuhulile ukimaliza koroga
na miti ya chikandanga ambayo imelowekwa. Utakuwa unakunywa
kabla ya Tendo la ndoa ni dawa safi sana hiyo!

Nakushukuru sana kwa kunifahamisha. Hili ndio teknolojia niliyokuwa naitafuta. Huu ndio uzuri wa jamvi letu, tunashare knowledge. Asante
 
Wana Jf, nawashukuru sana kwa mawazo yenu katika kumsaida mwenzetu juu ya swali hilo. Kifupi, badala ya kuumiza sana vichwa, kwa nini tusitumie kanuni za Muumba wetu? Mke mmoja/mume mmoja tu!!! Simple. Mtamaliza butcher, nyama ni ile ile. Kwa nini dhamiri yako ibaki ikikushtaki??? Kuna faida gani kuvunja amri ya Mungu? Pima faida na hasara za kuvunja amri zake uone kipi BORA. Hivi usipotembea nje ya ndoa, huoni utakuwa na amani tele?
1. Dhamiri yako itakuwa safi mbele na Mungu na mbele ya mwenzi wako.
2. Ukipata kahoma hutaogopa "labda nimeukwaaa, labda,...n.k."
3. Kila mara hata simu yako ikipigwa huna wasiwasi 'Labda hawara nini, je, nikaongelee wapi mwenzangu asisikie??"
4. Pesa zako zitatumika kihalali tu, sbb hutahonga, hutaficha kipato chako, maana matumizi mkeo/mumeo atayajua na mtapanga pamoja.
5. Utaweka mfano bora kwa watoto wako, ambao wanaweza wakauiga katika ndoa zao zijazo.
6. Mapenzi yenu yatadumu milele, kuanzia katika maisha ya sasa na ya paradiso ijayo.
7. Kuaminiana ndani ya ndoa kutajengeka sana. Hofu ya mtoto mchanga kubemendwa haitakuwepo.

Jamani kifupi, moyo wa mtu una siri nyingi sana, nyepesi nyepesi na nzito kabisa, Utawaficha wanadamu, lakini Mungu HAFICHWI NG'O.
TAFAKARI.
 
bb yangu nimekuwa nikimskia akimtibu mtoto mmoja akasema huu ugonjwa ulisababishwa na mama yake alipo kuwa mjamzito alijamiiana na mwanamme mwingine....bibi yangu anaijua hiyotiba kwa mtotoa takae zaliwa sasa bahati mbaya hawezi kusoma wala kuandika sijui atajibu vp humu JF. lkn dawa ipo na ni siku tatu tu mtoto anakuwa safi......kwa hiyo wewew do tu mtoto akizaliwa utamleta
 
Back
Top Bottom