Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Nikijisomea kuna cheti? Si unajua nagombea 2015 afu vyeti vya kunisapoti sina.
Itabidi usome nini maana ya staha kwanza mkuu!
Itabidi usome nini maana ya staha kwanza mkuu!
Ndivyo nilivyomuelewa huyu mtoa mada..
Hiyo para ya mwisho inashida gani?
Mwanamke anayeongea kwa stara anapendeza siyo kurukia rukia mambo
mtoto wa kike shurti utulie...uongee kwa nukta.mithil una flu sawa confidence iwepo,,,na uongee na viaibu aibu kdogo..eeh najua wale ambao sio wife materials wataniponda..ila SIPEND WANAWAKE MNAOONGEA SANA..jana mmoja kantoa apetite kbs..full kurukia rukia mada aagrh!!
Ha ha ha, basi mie naongea 180 kwa sekunde, na kwetu ndo ambaye siongei sana
Lizzy,Kongosho na wengine ambao mtoa mada hamjaenda naye frequency moja,ni hivi:
kuna watu wana tabia ya kutaka waongee wao tu wengine msikilize tu hata kama ana rap tu bila point,wana bore jamani!
Lizzy unaelewa bana ,you know the type regardless of gender,hawajui kwamba wisdom iko kwenye silence na wisdom is a virtue.Aongeze maelezo sio aishie kusema sio tuonge kwa nukta sijui koma.Mara tusiongee sana.Kwanini tusiongee wakati tuna ya kuongea na waliotozunguka wanapenda kutusikiliza na sisi tunapenda kuwasikilza wao?
Lizzy unaelewa bana ,you know the type regardless of gender,hawajui kwamba wisdom iko kwenye silence na wisdom is a virtue.
Lizzy,Kongosho na wengine ambao mtoa mada hamjaenda naye frequency moja,ni hivi:
kuna watu wana tabia ya kutaka waongee wao tu wengine msikilize tu hata kama ana rap tu bila point,wana bore jamani!
Is it now?
Haya hongera kwa wote wale ambao Mungu hakuwajalia sauti.
Lizzy ungekuwa mke wangu wewe sijui ingekuwaje.
Hahahaha. . tusingewezana mapema kabla hata ya kuwa mke.
mj1 kuna wanaume wengine wanaongea mpaka wanaanza kuongea pointlessDah! Hili nalo neno! Ila nadhani inaaply kwa wote. Hata mwanaume anayeongea hovyo naye si mzuri.
who knows,mbona hata chui na ukali wake anapigwa mimba?
Unashangaza, au ndo nyie mnaoogopa wanawake wanaojua mambo mengi kwa hofu ya kuumbuliwa?
Napenda kuongea na napenda kusikiliza kwasababu napenda majadiliano na wala sina mpango wa kupnguza chochote. Huo uwaifu matirio mnaopima kwa namba ya maneno utawapeleka kusiko.
I know.
Mtu mwenye mawazo kama ya mtoa mada hata urafiki nae sitaki. Maana ndio wale hata akisema kitu sicho ukamrekebisha basi anaenda kutangaza mtaani kua unaongea sana/unajifanya mjuaji.
Lizzy ungekuwa mke wangu wewe sijui ingekuwaje.
Duuuuuh nashindwa kusema kama ni mcharuko?
Ingekua raha, kupata iyo afro nyumbani kwako mwenyewe.
I know.
Mtu mwenye mawazo kama ya mtoa mada hata urafiki nae sitaki. Maana ndio wale hata akisema kitu sicho ukamrekebisha basi anaenda kutangaza mtaani kua unaongea sana/unajifanya mjuaji.