Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,211
- 1,185
Hawa ni miongoni mwa wanaume ambao kwa dada zetu wengi tu hapa duniani wanawamezea mate.Mmoja anaitwa William Levy anatokea CUBA na mwingine anaitwa John Dumelo anatokea GHANA.Hakina wanalalamika sana kwa kupendwa na wanawake.Wanawake mna siri gani ya kuwapenda wanaume hawa achana na umaarufu wao maana kuna tukio liliwahi kutokea la kupigwa mwanamke mmoja kwa kisa cha kumpenda huyo JOHN DUMELO mpaka akaachana na mume wake.Wanawake tuambieni mnawapendea nini wanaume hawa?