Ni kweli mkuu, hata vijana wenyewe siku hizi kutongoza hawajui kabisaaa, imebaki kujiumauma tu. Kwa kweli hata sikumbuki mara ya mwisho mimi nilitongozwa lini nikajisikia nimetongozeka!Siku hiz hakuna kutongozana, siku hiz kuna sera ya sema shida yako, kwanin tusumbuane??
lazima muelewe Mapenzi bila mizinga ni sawa na chai bila sukari
yani mpaka kunakera sasa
kila topic wanawake khaaaa
watuwache tulaleeeeee!!
Umeona eeeh! yani wanatuandama sanaaa,sijui tumewafanya nini hawa viumbe wanaume?.
na pemanz bila plactic... ni wizi m2 ndug
Ukimtongoza mwanamke akakubali na baada ya muda kidogo ukachomekea yako kutaka yaleeeee mambo yetu basi utamsikia mwanamke akija juu, oooooh bado sijakujua, juzi tu tayari ushaomba, unaelekea wewe shida yako ni hiyo tu na huna mapenzi na mimi. Kinachonishangazaga ni kuwa linapokuja suala la kupiga mizinga lenyewe halina muda mfupi sikufahamu, sasa iweje tunda lenyewe hadi unifahamu lakini mizinga ya ooooh nina shida ya laki 1 yenyewe nayo isisubili hadi mfahamiane?????????
pole. ila nizama zkupeana makavu laivu. mdada
Mkono kwa mkono nipe nikupe!!! Toa hela ule mambo!!