charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,369
Msinishambulie,naongelea baadhi ya wanawake na vitabia hivi.
Hivi ni utandawazi,maisha magumu,au ni nini?Yani mtu mmejuana siku 2 tu tayari upo tayari aku do?Sio mfano ni kweli imenitokea mimi nimeenda sehemu flani kikazi nilikuwa mgeni eneo hilo nikatafuta lodge nikapata nika ji regester fresh kama kawaida.Sasa kuna kina dada wazuri tu kwa sura figure etc wanahudumia hapo.Asubuhi ya kwanza salamu niliyouliyoambiwa ni pole kwa kulala peke yako na ilitoka kwa one of those girls,nikampotezea tu sikumjibu.Mara kapiga simu yangu nikiwa hapo na kweli ikaita akacheka kaniambia atanitafuta.
Usiku uliofuata nilisumbuliwa sana simu yangu na huyo dada mpaka nikazima simu eti anataka kuja kulala kwangu.Asubuhi yake nilimkuta amenuna balaa mpaka nikahisi sasa hapa naweza kufanyiwa kitu kibaya ikanibidi nihame pale nilipofikia na kwenda another lodge.Huko ilinilazimu niandike namba za uongo.Lakini balaa nahisi bado linanifuata kuna dada mwingine ameng'ang'ania nimpe namba yangu ya simu tena.
Haya mambo mbona hayakuwezo zamani jamani,tatizo ni nini hasa?
Hivi ni utandawazi,maisha magumu,au ni nini?Yani mtu mmejuana siku 2 tu tayari upo tayari aku do?Sio mfano ni kweli imenitokea mimi nimeenda sehemu flani kikazi nilikuwa mgeni eneo hilo nikatafuta lodge nikapata nika ji regester fresh kama kawaida.Sasa kuna kina dada wazuri tu kwa sura figure etc wanahudumia hapo.Asubuhi ya kwanza salamu niliyouliyoambiwa ni pole kwa kulala peke yako na ilitoka kwa one of those girls,nikampotezea tu sikumjibu.Mara kapiga simu yangu nikiwa hapo na kweli ikaita akacheka kaniambia atanitafuta.
Usiku uliofuata nilisumbuliwa sana simu yangu na huyo dada mpaka nikazima simu eti anataka kuja kulala kwangu.Asubuhi yake nilimkuta amenuna balaa mpaka nikahisi sasa hapa naweza kufanyiwa kitu kibaya ikanibidi nihame pale nilipofikia na kwenda another lodge.Huko ilinilazimu niandike namba za uongo.Lakini balaa nahisi bado linanifuata kuna dada mwingine ameng'ang'ania nimpe namba yangu ya simu tena.
Haya mambo mbona hayakuwezo zamani jamani,tatizo ni nini hasa?