Wanawake mmejaliwa lakini Siwakuamini hata siku Moja!

Nashangaa hapo umemwongelea dada tu!Siumesema huyo kaka nae ameoa??Basi na yeye hakupaswa kua na ujasiri wa kumtaka huyo dada!!Conclusion mpya:Hamna wakuamini..sio mwanamke wala mwanaume!

Kula tano!!kwa kumsuuza!
 
du hujui Hong Kong iko wapi? ulidhani ni nchi huru? HK ni Special Administrative Region SAR,zikiwemo Macau,Tibeti Inner Mongolia, Xingjiang Uygur etc zote zipo chini ya China
Dah! siku zote nilikuwa najua Hong Kong ni nchi kumbe jiografia yangu mbofu.......!
 
Back
Top Bottom