Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,317
Huyu jamaa aliyeingiza habari za hong kong kachakachua thread yangu mimi binafsi sijaona wapi vinakuta na topic hii!!
Topic yenyewe mchakachuo alafu imechakachuliwa!How about that!
Huyu jamaa aliyeingiza habari za hong kong kachakachua thread yangu mimi binafsi sijaona wapi vinakuta na topic hii!!
wanafanya na mbweha hawa wanawake au ni hao wanaume sema hakuna anayeaminika tena nyie msione sketi inapita tayari hayo masuruali yalishabana
Nashangaa hapo umemwongelea dada tu!Siumesema huyo kaka nae ameoa??Basi na yeye hakupaswa kua na ujasiri wa kumtaka huyo dada!!Conclusion mpya:Hamna wakuamini..sio mwanamke wala mwanaume!
kwa nini unasema wanawake tu, na huyo mwanaume rafiki yako naye anahaki ya kutenda hayo aliyotenda?
Dah! siku zote nilikuwa najua Hong Kong ni nchi kumbe jiografia yangu mbofu.......!
Huyu jamaa aliyeingiza habari za hong kong kachakachua thread yangu mimi binafsi sijaona wapi vinakuta na topic hii!!