Wanawake kuota Ndevu na Vipara: Chanzo, tahadhari na tiba yake

JamiiForums

JF Official Account
Nov 9, 2006
6,200
4,991
Siku za karibuni, wanawake wengi wamekuwa wakiota ndevu na wengi hawajui cha kufanya.

Katika mjadala huu, tunaangalia CHANZO cha tatizo hili, dalili zake (kama zipo), tutajadili pia tiba za asili na za kisasa (kama zipo) ili kuweza kuwasaidia wenye kuhitaji ushauri wa kukabiliana na tatizo hili.

Fuatana nasi!
==========================================================================
advera.jpg
Advera Senzo, Msemaji wa Jeshi La Polisi Tanzania

KUOTA NDEVU AU NYWELE KWA MWANAKE, KWENYE SEHEMU AMBOZO SIO ZA KAWAIDA KWA JINSIA YA KIKE, HUJULIKANA ZAIDI KWA MAJINA MAWILI

[1] HIRSUTISM AND
[2] HYPERTRICHOSIS

HIRSUTISM is defined as the excessive growth of thick dark hair in locations where hair growth in women usually is minimal or absent or is the growth of terminal hair in female which is distributed in pattern normally seen in male. Such male-pattern growth of terminal body hair usually occurs in androgen-stimulated locations, such as the face, chest, and areolae. [Dark ring around a nipple]

HYPERTRICHOSIS;
Is an excessive growth of terminal hair that does not follow an androgen pattern,kwenye paji la uso,mikono n.k. Although the terms hirsutism and hypertrichosis often are used interchangeably, hypertrichosis actually refers to excess hair (terminal or vellus) in areas that are not predominantly androgen dependent.

Whether a patient is hirsute often is difficult to judge because hair growth varies among individual women and across ethnic groups. What is considered hirsutism in one culture may be considered typical in another. For example, women from the Mediterranean and the Indian subcontinent have more facial and body hair than do women from East Asia, sub-Saharan Africa, and northern Europe. Dark-haired, darkly pigmented individuals of either sex tend to be more hirsute than blond or fair-skinned persons.

A woman with hirsutism has excess terminal hair in a masculine pattern, but note that hirsutism may be difficult to evaluate in women who have blond hair In most cases, hirsutism is a benign condition and is primarily of cosmetic concern. However, when hirsutism is accompanied by masculinizing signs or symptoms, particularly when these arise well after puberty, hirsutism may be a manifestation of a more serious underlying disorder such as an ovarian or adrenal neoplasm. Fortunately, these disorders are rare.

Causes:

Hormones;
Androgen levels disorders of ovary is one of the causes of Polycystic ovary syndrome (PCOS) . [cyst;- a closed bladder like sack formed in animal tissues ,containing fluid or semi fluid matter] PCOS is a disorder which causes of hirsutism; (PCOS) is one of the most common female endocrine disorders affecting approximately 5%-10% of women of reproductive age (12-45 years old) and is thought to be one of the leading causes of female infertility.

[ii] Familial hirsutism
Familial hirsutism is not associated with androgen excess. Familial hirsutism is both typical and natural in certain populations, such as in some women of Mediterranean or Middle Eastern ancestry.

[iii]Drug-induced hirsutism;
Which results from the treatment of gynecological disorders such as endometriosis danazol which was popular in 1970s, Anabolic steroids; Which are commonly used for muscle-building. Currently used oral contraceptives are likely to cause Hirsutism if used in high or inappropriate dosage.

Siku hizi wanawake wengi wanaota ndevu ukilinganisha na miaka ya nyuma! Hii inasababishwa na nini?

OBVIOUS kwetu ni suala la

[1]HORMONE MARADHI KWA KINA MAMA ,KAMA UTAONA MANAMKE ANAOTA NDEVU GHAFLA ,ZIKIAMBATANA NA CHUNUSI NA HUKU KUKIWA NA MABADILIKO YA SAUTI KUTOKA YA KIKE KWENDA YA KIUME [Age 12-45 ] , BASI MSHAURI AKAPIME HORMONIES ,PIA APIGE NA ULTRA SOUND HIZO NI DALILI ZA PCOS .

[2] VIDONGE VYA MAJIRA AMBAVYO VINAUZWA KAMA NJUGU ,UTAKUTA MSICHANA MDOGO ANAIGIA FAMASI NA KUSEMA,NAOMBA MAJIRA MBILI NA ANAPATIWA BILA TAABU WALA MAELEZO.

[3] INDIRECT HORMONE USAGE ,KUTOKA KWENYE VYAKULA.


know-if-you-have-male-pattern-baldness.png


Ingawa upara si kawaida sana katika wanawake kama ilivyo kwa wanaume, athari za kisaikolojia za kupoteza nywele huwa kubwa zaidi. Kwa kawaida ukanda wa nywele za mbele hudumu ilhali uwingi wa nywele hupungua katika maeneo yote kichwani.

Hapo awali iliaminika kuwa ilisababishwa na testosteroni sawa na katika upara wa kiume, lakini wanawake wengi ambao kupoteza nywele huwa na viwango vya kawaida vya testosteroni .

Hata hivyo, upotezaji nywele kwa mwanamke umekuwa tatizo linaloendelea, ambalo kwa mujibu wa Akademia ya Marekani ya Matibabu ya ngozi, huathiri karibu wanawake 30,000,000nchini Marekani.

Ingawa upotezaji nywele kwa wanawake kwa kawaida hutokea baada ya umri wa miaka 50 au hata baadaye, isipoambatana na matukio kama ujauzito, maradhi sugu, ya mlo, na mfadhaiko kati ya nyinginezo, kwa sasa inatokea miaka ya mapema na huku ripoti zikionyesha kuwa hutokea hata wanawake wachanga kama wa miaka 15 au 16.

Sababu za upotevu wa nywele mingoni mwa wanawake zinaweza kutofautiana na zinazoathiri wanaume. Kuhusiana na alopeshia androjeni, upotevu wa nywele za wanawake hutokea kulingana na athari za homoni za androjeni (testosteroni, androsteinedioni, na dihaidrotestosteroni (DHT)).

Homoni hizi za kiume, kwa kawaida hutokea kwa kiasi kidogo kwa wanawake. Hata hivyo, kulingana na Ted Daly, MD, tabibu wa ngozi kutoka Kituo cha Matibabu cha Chuo Kikuu cha Long Island, alopeshia androjeni sio sababu kuu ya kupotea kwa nywele kwa wanawake na wataalamu wa ngozi kwa sasa hupendelea kuita hali hii mkondo wa upotevu wa nywele.

Kwa wanawake badala ya kutumia neno androjeni alopeshia. Anaongeza kuwa mkondo wa kike ni wa mtawanyiko na hudhihirika katika eneo lote la juu ya kichwa na waweza kuathiri wanawake wakati wowote.

Wakati mwingine pia mchakato wa homoni huweza kusababisha upotevu wa nywele kwa mwanamke. Baadhi ya mifano ni: uja uzito, kufikia kutoweza kuzaa, uwepo wa uvimbe wa ovari, dawa za kudhibiti upataji mimba na kiwango juu cha androjeni , dalili za vimbe nyingi za ovari.

Pia matatizo ya tezi , anemia, ugonjwa sugu na baadhi ya dawa husababisha upotevu wa nywele kwa mwanamke

Dawa utaweza kwenda London kwenye clinic Harley Street Hair Clinic aliyotibiwa Rooney.


Credit: Katulanda

Testosterone ndo inaregulate mtu kuwa mwanaume mf masculinization, upara, ndevu, sauti etc. The vice versa unakuwa mwanamke.

Any imbalance kwenye hiyo hormone mtu anakuwa na vitu visivyo vya jinsia yake. Mf. Semenya alikuwa na ectopic production ya testosterone kutoka ndani ya via vya uzazi ndo mana akawa vile.

Walichomfanyia ni kusupress production yake ndo maana siku hizi anaonekana yuko feminized. Mabadiliko ya kimazingira, genetics, dawa, magonjwa huchangia kuwa na low au high levels za hiyo hormone.

Wapo wanawake wenye ndevu za kuzaliwa nazo na hawa si mjadala hapa.

Wanawake ninaowazungumzia ni wale nguli wa matumizi ya vipodozi.

attachment.php


Katika study case yangu ndogo niliyoifanya Dar es Salaam katika usafiri wa daladala hasa miaka ya 2007 mpaka 2009 nilikuja kugundua wanawake wengi walioonekana wana ndevu walikuwa na ngozi iliyotiwa mkorogo (cream) tena ikiwa imeharibika,weupe si weupe,wekundu si wekundu.

Ni ajabu kuwa karibu kila siku nilikutana na hawa watu katika daladala tofauti tofauti.

Katika hali ya kawaida ni ngumu sana kukutana na mwanamke mwenye ndevu za kuzaliwa nazo lakini ni jambo jepesi kumuona mwanamke anaetumia mkorogo aliyeota ndevu ukubwani kwa sababu ya mikorogo.

LADIES siyo kila kitu kwenye urembo kinafaa,take care na matumizi ya mikorogo.NGOZI YENU NI BORA KULIKO ILE YA MKOROGO,ngozi yenu inazuia mionzi ya jua kuwasababishia kansa,ngozi yenu inadumu miaka na miaka.

KWA WALE WANYONYESHAO WATOTO WAO WANANYONYA SUMU ZA COSMETICS ZENU ZINAZOTIRIRIKA KAMA JASHO MPAKA KWENYE MATITII.

Stop this.
 

Attachments

  • mkorogo-1.jpg
    mkorogo-1.jpg
    34.7 KB · Views: 3,050
Mikuku ya kisasa, mayai, vipodozi vya kichina nk.

Nami nichangie hii mada kwa kutoa mawazo yangu kulingana na hisia zangu maana ni kweli wanawake kuwa na ndevu ni jambo jipya katika jamii.

Bila shaka mnaweza kulinganisha suala hili na vizazi vilivyopita kama vile mabibi zetu wa pande zote mbili. Utaona kwamba kamwe suala hilo hata wao wanaliona ni geni, ninachoweza kuona kuna ukweli kuhusu hilo ni matumizi ya mafuta ya kupaka mwili hususani lotions.

Kama tujuavyo kuna kitu inaitwa diproson mafuta haya yalitumika kwa wingi sana miaka ya 1970's na 1980 hadi pale yalipopigwa marufuku kutumika kutokana na kuwepo kemikali hatari. Matumizi haya yalikuwepo kwa wingi sana sehemu za mipakani hususani Mbeya-Zambia, Mbeya-Malawi.

Ukiona watumiaji wa mafuta haya wa miaka hiyo leo hii wanahudhuria tiba ya maradhi ya ngozi pale Ocean-Road Hospital aidha kwa kuhisi wana saratani au tatizo la ngozi.

Wengi wao sasa ni watu wazima. Hata hivyo hawawezi kuwatahadharisha watoto wao na watu wengine kuwa kuna uwezekano kwamba matatizo yao yanatokana na matumizi ya mafuta hatari kama diproson.

Madhara mojawapo yanayoendana na matumizi ya mafuta ya namna hii ni kuharibu mfumo halisi wa utendaji wa ngozi ya mtu husika, wengi wa wanawake utawaona siyo tu kuwa na ndevu bali kuwa na vinyweleo vingi mwili mzima. Sipendi kuwataja wanawake wenye ndevu lakini hebu piga picha.

Matumizi mabaya ya mafuta yaliyozuiwa husababisha mabadiliko katika hedhi kwa wanawake hili nalo limekuwa likienda sambamba na uotaji ndevu kwa wnawake, sielewi kwanini sijafanya utafiti.

Ili kujiridhisha sisi sote tufanye jambo moja ukimuona mwanamke mwenye ndevu kaa naye kisha muulize historia yake ya maisha, anasa zake, kula kwake matumizi ya vipodozi na mengine.

Bila kusahau matatizo yake kiafya ni yepi, uzito wake wa mwili maana ukiwaona wanawake wengi wenye ndevu wengi wao ni wanene.
 
Mwisho wa dunia umekaribia.Tubu na kuiamini injili.

'I feel more feminine with my beard': Teaching assistant who suffered taunts because of her excessive hair decides to stop trimming it after being baptised a Sikh


  • Harnaam Kaur, of Slough, Berkshire, has polycystic ovary syndrome
  • Beard started to appear on her face aged just 11 and spread to chest
  • She's decided to stop cutting her hair after being baptised as a Sikh
article-0-1B8A710C00000578-563_306x690.jpg
icon_camera_90x68.png


Beard: Harnaam Kaur, 23, has polycystic ovary syndrome, which can cause excessive hair growth

A 23-year-old woman with a condition causing excessive hair development has revealed that growing a beard makes her feel more feminine.

Harnaam Kaur, of Slough, Berkshire, suffers from polycystic ovary syndrome - and a beard first started to appear on her face aged just 11.

The hair quickly spread to her chest and arms, and the condition made her the victim of taunts at school and on the street. She even received death threats from strangers over the internet.

But Miss Kaur has now decided to stop cutting her hair after being baptised as a Sikh - a religion in which cutting body hair is forbidden.

She said: ‘I would never ever go back now and remove my facial hair because it's the way God made me and I'm happy with the way I am.

'I feel more feminine, more sexy and I think I look it too. I've learned to love myself for who I am nothing can shake me now.'

During her early teens, Miss Kaur was so ashamed of her beard that she waxed twice a week, and also tried bleaching and shaving.

But the hair became thicker and spread - with Miss Kaur feeling so self-conscious that she refused to leave her house. She even began self-harming and she considered suicide.

She said: ‘I got bullied badly - at school I was called a "beardo" and things like "shemale" and "sheman". I can laugh about it now, but back then it affected me so badly that I began to self-harm because it felt better than all the abuse I was getting.

‘I'd talk to people with a hand over my face and I wore baggy, tomboy clothes to cover up the hair on my chest and arms.

‘I didn't want to go outside my house because I couldn't take the stares from strangers so I'd lock myself in my room. It got so bad that I just didn't want to live anymore.'

Applying mascara: Miss Kaur has now decided to stop cutting her hair after being baptized as a Sikh.

Despite all the opposition, she took the step to bear her beard, and now embraces the thick hair on her face and chest.

But at the age of 16, everything changed for Miss Kaur when she decided to be baptised as a Sikh. It meant she would have to let her facial hair grow out.

The decision proved controversial - especially with her family. Miss Kaur said: ‘My mum and dad didn't want me to do it - they didn't think I'd be able to have a normal life if I had a beard.

‘They worried I wouldn't be able to get married and that I'd never get a job. But I wanted to make my own decisions and live for myself - not anyone else. I'd had enough of hiding.

Harnaam Kaur has embraced her beard after becoming a Sikh

video-undefined-1B91834600000578-196_636x358.jpg


article-2560795-1B8A706A00000578-741_634x549.jpg


Out in Slough: Miss Kaur (centre) with her younger brother Gurdeep, 18, and friend Surrinder Bhachy, 40

‘I'd had enough of the bullying and the self-harming and the suicidal thoughts. I wanted to change my whole outlook on life and I thought I thought it was time to stop locking myself away - I had to do something about it.

POLYCYSTIC OVARY SYNDROME

PCOS is a common condition affecting a woman's ovaries, with three main features.

These are cysts developing in their ovaries, the ovaries not regularly releasing eggs, and high levels of male hormones - 'androgens'.

The syndrome is associated with irregular hormone levels in the body, including insulin.

There is no cure for the condition, but medicine is available to treat symptoms such as excessive hair growth and fertility problems.

Most women with the condition can get pregnant - but sometimes need a surgical procedure called laparoscopic ovarian drilling.

This involves destroying tissue in the ovaries making androgens including testosterone.


Her parents have come to terms with her decision - and her brother Gurdeep Singh, 18, is her biggest supporter.

She said: ‘It was incredibly daunting going outside because people would stare more than ever. At first I was angry but I realised that they didn't understand and were probably too afraid to ask me so I just decided to smile back.'

But Miss Kaur has struggled to get a job and even shaved off her beard at the age of 17 after pressure from members of her extended family.

She said: ‘I removed my beard once during a really low moment but when I'd done it all I could do was cry because I didn't feel like myself without my beard.

‘My brother was actually the one person who was completely shocked by what I had done - he hugged me and said I had looked so beautiful with my beard, he didn't understand why I had done it.'

She added: ‘It was from that point that I thought I'm never going to remove it ever again.'
article-2560795-1B8A6FF400000578-550_634x424.jpg
icon_camera_90x68.png
+7

Happier now: Miss Kaur has been employed at a local Sikh primary school as a teaching assistant and her confidence has soared

Since then Miss Kaur has been employed at a local Sikh primary school as a teaching assistant and her confidence has soared.

'I couldn't take the stares from strangers so I'd lock myself in my room. It got so bad that I just didn't want to live anymore'
Harnaam Kaur

She said: ‘I still get shop assistants calling me "sir" and strange looks from people - they see my beard first and realise I've actually got breasts too. It must be confusing for a lot of people.

‘The funniest reactions I get are from the children at my school. Some ask me what my beard is and I joke it's a Halloween costume. Some even ask me where I buy it and I just say "Asda".

‘I can laugh about it now - sometimes I say I'm a man and I put on a deep voice to scare other people because it's quite funny to see their reaction.'

article-2560795-1B8A728F00000578-745_634x493.jpg
icon_camera_90x68.png
+7

Siblings: Her parents have come to terms with her decision - and her brother Gurdeep Singh, 18, is her biggest supporter

Despite often being mistaken for a man, Miss Kaur says she feels more feminine than ever - choosing girly tops over baggy, high-necked jumpers.

'I feel more feminine, more sexy and I think I look it too' Harnaam Kaur

She said: ‘I'm able to go out and shop in the women's section without feeling I shouldn't be there. I wear skirts, dresses and jewellery and I like to get my nails done like every other girl.'

Today Miss Kaur hopes her story will help other women find self-confidence. She has decided to share her story on YouTube - and continues to upload videos despite receiving death threats.

She said: ‘I've had people telling me they're going to burn me and throw a brick at me - all sorts of things like that.

article-2560795-1B8A728B00000578-110_306x423.jpg



article-2560795-1B8A700000000578-867_306x423.jpg


Younger days: Miss Kaur is pictured (left and right) during a wedding in India, aged 13. A beard first started to appear on her face aged just 11

‘But I've also had a lot of positive messages from women in the same situation as me. I've also had loads of nice comments from men all over the world. One even asked me to marry him.

‘I haven't found a potential husband yet. I still get some grief from the men in my community and it does still seem to be a barrier to marriage. But I'm young and there's still plenty of time for that.

‘All that matters to me at the moment is that I love myself. I love my beard and all my other little quirks - my tattoos, my scars, stretch marks and blemishes.

‘I want other women to find the strength that I have. If I had any message it would be to live the way you want - it's your journey and it's your life.'

Source: Teaching assistant Harnaam Kaur with condition causing excessive hair grows beard | Mail Online
 
Mi zamani nilikuwa nakutana na wanawake wenye ndevu sana kuliko sasa!

Lkn kimsingi ni kwamba kuna baadhi ya maeneo ambayo shida hiyo ni common kwa wanawake wengi...Mi nahusianisha na aina za vyakula wanazotumia huko, au asili ya udongo etyc... ni mtazamo tu!
 
Jawabu/dawa yake hasa ni nini?

Dr. yeyote atoe maelezo basi ya kina kuhusu sababu na jinsi ya kuepuka na dawa.
 
Madoktari vipi mbona kimya wakuu!. Hebu mwageni hizo nondo hapa dada zetu waepuke kufanana nasi jamani. Videvu vyetu vikukutana wakati wa kujimwaga unaweza hisi uko na mdume mwezio kumbe mdada ?
 
Mikorogo hiyo, Jaribu kuchunguza wanawake wengi wenye kujichuna utaona (Congo hii ipo sana).

Sisemi hawapo wenye ndevu kwa sababu za 'kimaumbile'
 
Hii ni suala la homones jamani.Binafsi nina dadangu alikuwa na tatizo hili nikaenda kwa daktari akaniambia ni hormones nikaelekezwa kwa jamaa mmoja anaitwa dk Ndodi Tabata, alipopewa dawa akakata mpaka sasa azijatoka.

Sasa kwa ushauri muulie dk. Ndodi.
 
Kuna watu wanasema ni ulaji wa viazi (irish potatoes)... sasa sijui kama kweli au kuna connection gani.
 
Kwani kuna tatizo gani kwa mwanamke kuwa na ndevu? :target:siku hizi ni 50/50
 
KUOTA NDEVU AU NYWELE KWA MWANAKE, KWENYE SEHEMU AMBOZO SIO ZA KAWAIDA KWA JINSIA YA KIKE, HUJULIKANA ZAIDI KWA MAJINA MAWILI

[1] HIRSUTISM AND
[2] HYPERTRICHOSIS

HIRSUTISM is defined as the excessive growth of thick dark hair in locations where hair growth in women usually is minimal or absent or is the growth of terminal hair in female which is distributed in pattern normally seen in male. Such male-pattern growth of terminal body hair usually occurs in androgen-stimulated locations, such as the face, chest, and areolae. [Dark ring around a nipple]

HYPERTRICHOSIS;
Is an excessive growth of terminal hair that does not follow an androgen pattern,kwenye paji la uso,mikono n.k. Although the terms hirsutism and hypertrichosis often are used interchangeably, hypertrichosis actually refers to excess hair (terminal or vellus) in areas that are not predominantly androgen dependent.

Whether a patient is hirsute often is difficult to judge because hair growth varies among individual women and across ethnic groups. What is considered hirsutism in one culture may be considered typical in another. For example, women from the Mediterranean and the Indian subcontinent have more facial and body hair than do women from East Asia, sub-Saharan Africa, and northern Europe. Dark-haired, darkly pigmented individuals of either sex tend to be more hirsute than blond or fair-skinned persons.

A woman with hirsutism has excess terminal hair in a masculine pattern, but note that hirsutism may be difficult to evaluate in women who have blond hair In most cases, hirsutism is a benign condition and is primarily of cosmetic concern. However, when hirsutism is accompanied by masculinizing signs or symptoms, particularly when these arise well after puberty, hirsutism may be a manifestation of a more serious underlying disorder such as an ovarian or adrenal neoplasm. Fortunately, these disorders are rare.

Causes:

Hormones;
Androgen levels disorders of ovary is one of the causes of Polycystic ovary syndrome (PCOS) . [cyst;- a closed bladder like sack formed in animal tissues ,containing fluid or semi fluid matter] PCOS is a disorder which causes of hirsutism; (PCOS) is one of the most common female endocrine disorders affecting approximately 5%-10% of women of reproductive age (12-45 years old) and is thought to be one of the leading causes of female infertility.

[ii] Familial hirsutism
Familial hirsutism is not associated with androgen excess. Familial hirsutism is both typical and natural in certain populations, such as in some women of Mediterranean or Middle Eastern ancestry.

[iii]Drug-induced hirsutism;
Which results from the treatment of gynecological disorders such as endometriosis danazol which was popular in 1970s, Anabolic steroids; Which are commonly used for muscle-building. Currently used oral contraceptives are likely to cause Hirsutism if used in high or inappropriate dosage.

Siku hizi wanawake wengi wanaota ndevu ukilinganisha na miaka ya nyuma! Hii inasababishwa na nini?

OBVIOUS kwetu ni suala la

[1]HORMONE MARADHI KWA KINA MAMA ,KAMA UTAONA MANAMKE ANAOTA NDEVU GHAFLA ,ZIKIAMBATANA NA CHUNUSI NA HUKU KUKIWA NA MABADILIKO YA SAUTI KUTOKA YA KIKE KWENDA YA KIUME [Age 12-45 ] , BASI MSHAURI AKAPIME HORMONIES ,PIA APIGE NA ULTRA SOUND HIZO NI DALILI ZA PCOS .

[2] VIDONGE VYA MAJIRA AMBAVYO VINAUZWA KAMA NJUGU ,UTAKUTA MSICHANA MDOGO ANAIGIA FAMASI NA KUSEMA,NAOMBA MAJIRA MBILI NA ANAPATIWA BILA TAABU WALA MAELEZO.

[3] INDIRECT HORMONE USAGE ,KUTOKA KWENYE VYAKULA.
 
kwani kuna tatizo gani kwa mwanamke kuwa na ndevu? :target:siku hizi ni 50/50

Inatisha, hasa wakati wa kutumia talanta! Mimi nilishakutana na mwenye 'love garden'! It is scaring guys.
 
Mfumo wa maisha kwasasa unasababisha hayo. Zamani kazi ya kutafuta ilikuwa ni ya wanaume tu lakini sasa ni wote.

Hali hiyo ya kuhangaikia maisha inasababisha wanawake kuongeza uzalishaji wa misusumo (hormones) ya kiume ambayo ndio yenye kusababisha magoya.

Ukiangalia hili ni maeneo (location) utaona kuwa wanawake wenye ndevu ni wengi zaidi mijini kuliko vijijini. Wanawake wakipunguza stress za maisha watapunguza nafasi ya kupata magoya waliyonayo wanaume.
 
Mimi nadhani ni mkorogo na vyakula vya kisasa,niliwahi ishi mbeya wanaake wengi wamejichubua na wanandevu
 
Nimeanza kumuona tangu siku baada ya tukio la milipuko ya mabomu Gongo la Mboto akitoa maelezo na tahadhari kwa wananchi. Halafu kila mara humuona katika TV (hasa ITV) akirudia taarifa yake.

Huyu ana ndevu, tena nyingi tu za kushuku jinsia yake halisi. Hata wajihi wake haukukaa kike kabisa. Hachunguzwi kwa nini? Inawezekana pana kitu hapo.
 
Lakini jamani ni kweli polisi huyo ana ndevu, tena nyingi tu -- ingawa naghani hili haliathiri utendaji na kazi yake.
 
Jamani wana jamvi hili jukwaa la Siasa sasa hayo mambo ya ndevu yanaingiaje hapa? ndevu zake zina madhara gani kwa maslahi ya nchi? naanza kua na hisia kua mtoa mada ni mtumiaji mkubwa wa mihadarati aina ya bangi na pia nampa ushauriaache kabisaaaa kwani anapoelekea sio pazuri atakuja vua nguo siku moja.
 
Je kuna uhusiano gani kati ya mwanamke mwenye ndevu na utajiri? Nakumbuka miaka ya nyuma, mkoani Mbeya wanawake wenye ndevu walikuwa wanapotea kwenye mazingira ya kutatanisha na walipo patikana walikutwa ni maiti na videvu na sehemu zao za siri vikiwa kimekatwa na kinyofolewa
 
Back
Top Bottom