Wanawake kukaa uchi chanzo cha ukosefu wa nguvu za kiume.

mayenga

JF-Expert Member
Sep 6, 2009
4,118
1,966
Wadau Salam,


Kuna msemo wa zamani japo sio wa kistaarabu kidogo(Ashakum si matusi) kwamba zamani ukimtaka mwanamke,ilikuwepo kazi kuitafuta nguo ya ndani(chupi) na ilikuwa vigumu mpaka kuliona ****ko.Msemo huu ulilenga kudhihirisha kuwa wanawake walijua kujistri kwa kiasi kikubwa.Tukubaliane kwa jambo moja kubwa kuwa kwa wale waliosoma biolojia wanajua hisia jinsi zinavyofanya kazi mwilini(Coordination and Response).Ukijiwekea utaratibu wa kula wali kila siku,itafikia hatua wali huo utakuwa si lolote,ukijiwekea utaratibu wa kwamba ifikapo saa fulani ntafanya kitu fulani,yatakuwa ni mazoea na utakuwa ni utaratibu wa kawaida tu.

Sasa kurudi kwenye mada,tuambiane ukweli ni wanaume wangapi ambao ni wavumilivu wanapowaona wanawake au wasichana wamevaa vichupi?,wengine ushindwa kujizuia na kukuta wanalowa suruali.Mvuto wa hisia kwa mtazamo wangu na ndio ukweli wenyewe hauko kwenye consumation(love making) tu.Ndo maana watu wanavutiwa na ******ko makubwa,maziwa madogo n.k.Vitu hivi ni muhimu katika kuleta mshawasho wa mapenzi,ndio maana linakuja suala la mwanamke kujisetri ili kutoamsha tamaa za ajabu.Umeamka asubuhi umepanda daladala unashuhudia chupi ya mwanamke,umeshikilia bomba na mdada kifua kiko wazi,mdada anashuka suruali limeshuka usawa wa magoti,si kifua,si mgogo,si *****ko,si kiuno na wala si matiti wala tumbo kisichoonekana.Umerudi nyumbani uko na mwanao au dadako kwenye kochi amevaaa siketi fupi kabisa,mkeo pia vilevile.Mazoea haya ya kuona vitu hivi kila siku hayawezi hata kujenga taswira ya muwasho,hamu,mhemko wala hisia kali(deep feeling).

Kinachotokea ni kwamba,kwa sababu ya kuona vitu hivyo kila wakati na kila saa,wakati mwingine ubongo hujiambia,haya ni mambo ya kawaida,hamna catalyst yenye kukupa msahawasho wa kuona jambo jipya,kila kitu ni kilekile.Kumbuka kama wewe ni mlaji wa ugali kila siku na labda umejipangia kula kilo moja kila siku,haiwezekani ukamantain kiasi kilekile,utakula kilo moja leo,kesho robo tatu,kesho kutwa nusu na mtondogoo utaishia kula robo.Kwa jinsi hata katika mapenzi kujituma hupungua hakuna jipya...........Tafakari!!!!!!!!!
 
Nguvu za kiume hazipungui kutokana na kufanya sex kila siku.

Nguvu za kiume zinatokana na chakula unacho kula.

Vijana wasiku hizi wanapenda kula chips na kuku wakati havina faida.
 
Kwa sisi wanaume wa Kitanzania sidhani kama tukionyeshwa kila siku hamu itapungua, mi nahisi ndo itakuwa kama tunakumbushwa vile ....
 
Kama kuna ukweli fulani vile! Ila napita tu, naelekea jukwaa la siasa
 
Wadau Salam,


Kuna msemo wa zamani japo sio wa kistaarabu kidogo(Ashakum si matusi) kwamba zamani ukimtaka mwanamke,ilikuwepo kazi kuitafuta nguo ya ndani(chupi) na ilikuwa vigumu mpaka kuliona ****ko.Msemo huu ulilenga kudhihirisha kuwa wanawake walijua kujistri kwa kiasi kikubwa.Tukubaliane kwa jambo moja kubwa kuwa kwa wale waliosoma biolojia wanajua hisia jinsi zinavyofanya kazi mwilini(Coordination and Response).Ukijiwekea utaratibu wa kula wali kila siku,itafikia hatua wali huo utakuwa si lolote,ukijiwekea utaratibu wa kwamba ifikapo saa fulani ntafanya kitu fulani,yatakuwa ni mazoea na utakuwa ni utaratibu wa kawaida tu.

Sasa kurudi kwenye mada,tuambiane ukweli ni wanaume wangapi ambao ni wavumilivu wanapowaona wanawake au wasichana wamevaa vichupi?,wengine ushindwa kujizuia na kukuta wanalowa suruali.Mvuto wa hisia kwa mtazamo wangu na ndio ukweli wenyewe hauko kwenye consumation(love making) tu.Ndo maana watu wanavutiwa na ******ko makubwa,maziwa madogo n.k.Vitu hivi ni muhimu katika kuleta mshawasho wa mapenzi,ndio maana linakuja suala la mwanamke kujisetri ili kutoamsha tamaa za ajabu.Umeamka asubuhi umepanda daladala unashuhudia chupi ya mwanamke,umeshikilia bomba na mdada kifua kiko wazi,mdada anashuka suruali limeshuka usawa wa magoti,si kifua,si mgogo,si *****ko,si kiuno na wala si matiti wala tumbo kisichoonekana.Umerudi nyumbani uko na mwanao au dadako kwenye kochi amevaaa siketi fupi kabisa,mkeo pia vilevile.Mazoea haya ya kuona vitu hivi kila siku hayawezi hata kujenga taswira ya muwasho,hamu,mhemko wala hisia kali(deep feeling).

Kinachotokea ni kwamba,kwa sababu ya kuona vitu hivyo kila wakati na kila saa,wakati mwingine ubongo hujiambia,haya ni mambo ya kawaida,hamna catalyst yenye kukupa msahawasho wa kuona jambo jipya,kila kitu ni kilekile.Kumbuka kama wewe ni mlaji wa ugali kila siku na labda umejipangia kula kilo moja kila siku,haiwezekani ukamantain kiasi kilekile,utakula kilo moja leo,kesho robo tatu,kesho kutwa nusu na mtondogoo utaishia kula robo.Kwa jinsi hata katika mapenzi kujituma hupungua hakuna jipya...........Tafakari!!!!!!!!!

Du.! mkuu umefikiria nini mpaka ukaleta hii mada... simple answer.. kwa tulio oa ,si ungekuta yaani siku nyiingi haisimami maana mi na mke wangu kila siku twaoga pamoja,twavaa pamoja etc.
Kwa uelewa wangu nadhani kudinda ni involuntary action , ni kama kufunga jicho, kushtuka unapotobolewa na kitu mguuni...etc.
Na jibu la mwisho, nguo simekuja juzi tuu... zamani walikua hawavai kabisaaaa.. na kuna makabila bado hawavai mpakasasa kama wa Hadzabe, lakini moto ni uleule.
 
Nakubaliana na wewe, Mwanamke au mtoto wa kike yake staha bwana. wengi tunapotoshwa na ya 'uzunguni' but kusema ukweli ukiwa una'hifadhi' binti shurti kitenge/khanga kama si dera kiasi kwamba hata ikitokea kaona kwa bahati mbaya unaona kabisa impact ya matamanio. Lakini kila dakia we duka li wazi hata mteja huchoka ati!

Mabinti jisitirini kama sie enzi zileeeeeeee.
Napita
 
Nakubaliana na wewe, Mwanamke au mtoto wa kike yake staha bwana. wengi tunapotoshwa na ya 'uzunguni' but kusema ukweli ukiwa una'hifadhi' binti shurti kitenge/khanga kama si dera kiasi kwamba hata ikitokea kaona kwa bahati mbaya unaona kabisa impact ya matamanio. Lakini kila dakia we duka li wazi hata mteja huchoka ati!

Mabinti jisitirini kama sie enzi zileeeeeeee.
Napita

Umenikumbusha ule mwimbo duka la mzungu liwaziii, lauza mchele na nazii .....tehteeth teh
 
Nakubaliana na wewe, Mwanamke au mtoto wa kike yake staha bwana. wengi tunapotoshwa na ya 'uzunguni' but kusema ukweli ukiwa una'hifadhi' binti shurti kitenge/khanga kama si dera kiasi kwamba hata ikitokea kaona kwa bahati mbaya unaona kabisa impact ya matamanio. Lakini kila dakia we duka li wazi hata mteja huchoka ati!

Mabinti jisitirini kama sie enzi zileeeeeeee.
Napita

Naomba kudiffer; hapo kwenye uzungu!
Asili yetu, ni kuvaa nguo chache sana; huo uzungu ndio ulioleta hayo manguo mengi mengi. Hata bila kwenda Bostwana, angalia ngoma zetu karibia zote za asili; mavazi yanayotumika ambayo ni ya kitamaduni; ni yanayoachia sehemu kubwa ya mwili wetu.

Ninapokubaliana na wewe ni kuhimiza watu kujisitiri lakini si kwamba kutojisitiri ni asili ya wazungu na si yetu. Hiyo mikhanga na midela ni asili ya waarabu.
 
Wadau Salam,


Kuna msemo wa zamani japo sio wa kistaarabu kidogo(Ashakum si matusi) kwamba zamani ukimtaka mwanamke,ilikuwepo kazi kuitafuta nguo ya ndani(chupi) na ilikuwa vigumu mpaka kuliona ****ko.Msemo huu ulilenga kudhihirisha kuwa wanawake walijua kujistri kwa kiasi kikubwa.Tukubaliane kwa jambo moja kubwa kuwa kwa wale waliosoma biolojia wanajua hisia jinsi zinavyofanya kazi mwilini(Coordination and Response).Ukijiwekea utaratibu wa kula wali kila siku,itafikia hatua wali huo utakuwa si lolote,ukijiwekea utaratibu wa kwamba ifikapo saa fulani ntafanya kitu fulani,yatakuwa ni mazoea na utakuwa ni utaratibu wa kawaida tu.

Sasa kurudi kwenye mada,tuambiane ukweli ni wanaume wangapi ambao ni wavumilivu wanapowaona wanawake au wasichana wamevaa vichupi?,wengine ushindwa kujizuia na kukuta wanalowa suruali.Mvuto wa hisia kwa mtazamo wangu na ndio ukweli wenyewe hauko kwenye consumation(love making) tu.Ndo maana watu wanavutiwa na ******ko makubwa,maziwa madogo n.k.Vitu hivi ni muhimu katika kuleta mshawasho wa mapenzi,ndio maana linakuja suala la mwanamke kujisetri ili kutoamsha tamaa za ajabu.Umeamka asubuhi umepanda daladala unashuhudia chupi ya mwanamke,umeshikilia bomba na mdada kifua kiko wazi,mdada anashuka suruali limeshuka usawa wa magoti,si kifua,si mgogo,si *****ko,si kiuno na wala si matiti wala tumbo kisichoonekana.Umerudi nyumbani uko na mwanao au dadako kwenye kochi amevaaa siketi fupi kabisa,mkeo pia vilevile.Mazoea haya ya kuona vitu hivi kila siku hayawezi hata kujenga taswira ya muwasho,hamu,mhemko wala hisia kali(deep feeling).

Kinachotokea ni kwamba,kwa sababu ya kuona vitu hivyo kila wakati na kila saa,wakati mwingine ubongo hujiambia,haya ni mambo ya kawaida,hamna catalyst yenye kukupa msahawasho wa kuona jambo jipya,kila kitu ni kilekile.Kumbuka kama wewe ni mlaji wa ugali kila siku na labda umejipangia kula kilo moja kila siku,haiwezekani ukamantain kiasi kilekile,utakula kilo moja leo,kesho robo tatu,kesho kutwa nusu na mtondogoo utaishia kula robo.Kwa jinsi hata katika mapenzi kujituma hupungua hakuna jipya...........Tafakari!!!!!!!!!

Ndiyo maana inatakiwa wakati wa kuoa umekishua unaoa mtu umpendaye, maana kitendo cha kumuona kila siku viungo vyake akiwa uchi unalala naye kitanda kimoja. kina kufanya asikusisimue tena, ila kwasababu naturally unampenda inajengeka akilini kwamba usimtende kitu kibaya. Vinginevyo waweza kujikuta humuheshimu na kufanya mambo ya ajabu mbele yake
 
Naomba kudiffer; hapo kwenye uzungu!
Asili yetu, ni kuvaa nguo chache sana; huo uzungu ndio ulioleta hayo manguo mengi mengi. Hata bila kwenda Bostwana, angalia ngoma zetu karibia zote za asili; mavazi yanayotumika ambayo ni ya kitamaduni; ni yanayoachia sehemu kubwa ya mwili wetu.

Ninapokubaliana na wewe ni kuhimiza watu kujisitiri lakini si kwamba kutojisitiri ni asili ya wazungu na si yetu. Hiyo mikhanga na midela ni asili ya waarabu.

Touche.
 
Nakubaliana na mtoa mada na wengi ya wachangiaji.Kuna factors nyingi zinachangia kupungua nguvu ikiwamo kula ma junk food , uonajihuo wa mapaja / matiti , n.k lakini nadhani kama mtu yuko fiti kimwili kuona tu ni balaa.Lazima "Kalulushi Instrument" iamke na kuanza kuleta shida.Siamini kabisa kama Dam inflow vzr katika mwili wa mtu mpaka kwenye instrument halafu eti ukiweka mambo hadharani instrument igome.NGUMU SANA.Ukosefu wa kiume unaongelewa sana ni ule ambao jamaa anagoma miezi miaka unawekewa kitu balaa wala instrument haiamki.Sababu kubwa ni flow mbovu ya blood mwili na kwenye kichwa.vyakula vibovu , mafuta mengi mwilini--majunk food na machipsi manyama , kutopumzika vizuri,ukandamizaji wa biere daily...ndo sababu kuu.TUJENGE UTAMADUNI WA KUFANYA MAZOEZI NA KULA BALANCED DIET.TUKIFANYA HIVYO BUKAN&* ITAPIGWA FRESH TU NA INSRUMENT ITAMSIMAMIA HATA DADAKO
 
Naomba kudiffer; hapo kwenye uzungu!
Asili yetu, ni kuvaa nguo chache sana; huo uzungu ndio ulioleta hayo manguo mengi mengi. Hata bila kwenda Bostwana, angalia ngoma zetu karibia zote za asili; mavazi yanayotumika ambayo ni ya kitamaduni; ni yanayoachia sehemu kubwa ya mwili wetu.

Ninapokubaliana na wewe ni kuhimiza watu kujisitiri lakini si kwamba kutojisitiri ni asili ya wazungu na si yetu. Hiyo mikhanga na midela ni asili ya waarabu.

Uko sawa kabisa Da Mkubwa Kaunga katu sibishi ila kinachonishinda ni tofauti kati ya hii asili yetu na makuzi yetu. Nakubali ni asili yetu kuwa na nguo chache kwani hata tamaduni zetu za kale zinaonyesha jinsi ngoma zetu zinavyochezwa kwa uwazi lakini je katika malezi yetu tunakuzwa katika kuuenzi utamaduni huu? au kuna conflicting issues kwa sababu kama mtoto wa kike analelewa kwa minajili ya usitiri, vaa khanga akiwa na miaka kumi, jisetiri kwa kutokukaa kifua wazi no matter joto la aina gani bado tutasema tunauenzi utamaduni wetu?

Nadhani tungeruhusiwa mabinti kulelewa kuwa ni sawa paja likiwa nje, ni sawa kukaa na kuchanua miguu pasipo bibi wala nyanya kukufinya mapaja tungeweza kuwa kama Wa Botswana but wengi wetu tunabanwa.

Hahaha Kaunga Khanga nadhani ni new version ya Kaniki, no? It is what I think!
 
Du.! mkuu umefikiria nini mpaka ukaleta hii mada... simple answer.. kwa tulio oa ,si ungekuta yaani siku nyiingi haisimami maana mi na mke wangu kila siku twaoga pamoja,twavaa pamoja etc.
Kwa uelewa wangu nadhani kudinda ni involuntary action , ni kama kufunga jicho, kushtuka unapotobolewa na kitu mguuni...etc.
Na jibu la mwisho, nguo simekuja juzi tuu... zamani walikua hawavai kabisaaaa.. na kuna makabila bado hawavai mpakasasa kama wa Hadzabe, lakini moto ni uleule.

Lakini Mkuu kumbuka mkeo anjisetri na hakai uchi muda wote.
 
  • Thanks
Reactions: rom
teh teh teh nguvu azipungui bana...... inakuwa ni mazoea tu ya kuona kila siku na kupuuzia tu. vinginevyo ukitaka ngoma ipo palepale.
 
Back
Top Bottom