wanawake kujiachia.....baada ya uzazi

pauline

JF-Expert Member
Dec 26, 2010
650
140
Nimekulia ktk suburbs za Ubungo,na naelewa majukumu ya nyumbani kama MWANAMKE yanavyochosha....nakumbuka 6.45 asubuhi tuko kisimani tunachota maji,lazima urudie ndoo kadhaa kujaza pipa!ufagie uwanja wa nje,upige deki nyumba utengeneze breakfast....nk

..........ukiwa na mtoto means majukumu yanaongezeka!....kumuangalia mtoto24/7 kufua, kupika at the end of the day...mwili unakuwa umechoka na hupati nafasi tena ya kujiangalia mwenyewe kimavazi na nywele ili mumeo akija akukute umependeza!:painkiller::painkiller::target:.............cha kushangaza hapo ndipo wanaume wanatafuta nyumba ndogo kwa kisingizio kuwa wake zao wamepoteza mvuto,hawajipendi tena.....kwa muda tumekuwa tukinyooshewa vidole kuwa ni makosa yetu wao kutoka nje!!!!..........Jamani inauma mumeo kutoka nje...ila kuambiwa ni wewe umesababisha INAUMA ZAIDI!

.........i understand mnakuwa mmechoka mnaporudi nyumbani,ila jaribu kumsaidia mkeo uone km hatakupa attention?kwa mfano ukifika na kumkuta hajaoga,ukifika mchukue mtoto kutoka kwake umbembeleze ,mwambie wkt unabembeleza mtoto aende kuoga....uone kama hatatoka amevutia??LOLS...........au umkute anapika unamsaidia kukata vitunguu....ukakaa hapo jikoni mpk anamaliza kupika..................sie wanawake ni watu wa hisia zaidi unaweza ukawa unafanya vitu vidogo saana ila ukawa unasend ujumbe kuwa UNATUJALI...at the end of the day,lazima utapata attention unayotaka tu!........na sie wanawake ifike mahali tu-swallow pride zetu tukubali sometimes tunachoka!!!hivyo mtu(mwanaume) akijitolea kutusaidia tukubali!!!!......................

kwa wakaka km hupati ATTENTION kutoka kwa mkeo....solusheni sio kutafuta nyumba ndogo!,solusheni ni ku-DO SOMETHING....kuhakikisha unapata hio attention...........tulieni tulee watoto....dawa ya ukimwi bado haijapatikana besides all that progress....hivyo tusiongeze mayatima duniani kwa mambo ambayo tungeweza kuyazuia!!!

HAPPY NEW YEAR!!!!!!!!!!!!!!!!!!! KM HAMTANIELEWA AM VERE SOREEEEEEE LEO NAKUNYWA KWA FUJO! 2010 HAS BEEN BAD YEAR FOR ME I SPENT ALMOST 6 MONTHS IN HOSPITAL......SO MIE LEO NINA RAHA SAAANA HUO MWAKA UMEISHA...LOLS!:rofl:
 
Umesema mambo mazuri, lakini usiende kunywa kiasi hicho,sio busara mwanamke kulewa. Tutatafuta nyumba ndogo???
 
Umesema mambo mazuri, lakini usiende kunywa kiasi hicho,sio busara mwanamke kulewa. Tutatafuta nyumba ndogo???

tafuta na kadogo chake hiyo ndogo uipromote iwe smallforewomen house........... nakuombea get well soon kabla hujapata hako kaugonjwa kasiko na tiba:teeth:
 
Umesema mambo mazuri, lakini usiende kunywa kiasi hicho,sio busara mwanamke kulewa. Tutatafuta nyumba ndogo???

hahahaah kwa nini utafute ndogo?hautatosha bana..tafuta medium...lols:whoo:
 
Pole mwaya kwakua na mwaka mbaya 10!Hopefully huu utakua heri zaidi na sio heri ya uliopita!
Wanaume wa aina hiyo wapo wengi..hua hawajua ni kazi kiasi gani kuwa mama na mke kwa wakati mmoja!Wanadhani mtu hajipendi kumbe nguvu na muda wote unaishia kwenye kumjali mume na watoto ye anajiweka mwisho!Hawajui msaada kidogo tu unaweza kuleta mabadiliko zaidi ya anayolalamikia!Na kumnunulia zawadi badala ya kupeleka nyumba ndogo maana mama anakua hana hata muda wakujinunulia vitu vipya.
 
kama vile kuna ukweli humu! Lol! Mungu uwape wanaume busara na uvumilivu
 
Pauline pole sana kwa kuwa hospitali kipindi chote icho!
 
Vipi kale kaugonjwa kako kakutamani wanawake wenzio kameshapona, kwa kweli nakuombea kakutoke kabisa. Zaidi ya yote pole sana kwa yaliyokusibu ukalazwa hospital six miezi.
 
Pauline uliyoyasema ni ya kweli umegusa pande zote ila umetuhuzunisha kidogo ulipolazwa 6month hospital nini kilikusibu?Pole sana Ila Mungu ni mwema.
Angalia sana wengine wakinywa pombe hushuka chini badala ya kulewa!
 
Mhhh nafikiria zaidi......Hivi ulikuwa unaumwa ugonjwa gani mpaka ukalazwa six months hospital??Pole sana ebu tuambie kwanza!!
 
Thanks wote kwa pole....unfortunately sitawaambia nilikuwa nasumbuliwa na nini..msije mkaninyanyapaa bure...!:embarrassed:
 
Thanks wote kwa pole....unfortunately sitawaambia nilikuwa nasumbuliwa na nini..msije mkaninyanyapaa bure...!:embarrassed:

Does not matter so long as you are now fine Tumshukuru Mungu.... Lets hope for a better tommorrow....
 
Hatuwezi kufanya hivyo .......Ila tunashukuru kwa kuwa Sasa ni mzima wa Afya
Thanks wote kwa pole....unfortunately sitawaambia nilikuwa nasumbuliwa na nini..msije mkaninyanyapaa bure...!:embarrassed:
 
pole pauline, Have faith in 2011. All your wish will come tru.
 
Pauline pole,ulchosema ni kweli,lakini inategemea hata na maeneo mnayoish,hzi nyumba ze2 za uswazi huku jikoni kuna wamama kibao maneno ya taarabu yamewajaa vnywani how can i enter there nipike?nadhani kwa kaz za ndani ntamsaidia,au hata kumpelekea maji bafuni,kumshka mtoto,pia kumwonyesha hali ya kujali,ila kama 2naish kwenye nyumba ye2 au yenye mazngra mazuri indpendnt kitchen unamsaidia kupika,kufua na mengneyo.....ila sasa wanawake wengne kwa akil zao bu2 ukimsaidia 2 ndo inakua tabu,
 
Pauline pole,ulchosema ni kweli,lakini inategemea hata na maeneo mnayoish,hzi nyumba ze2 za uswazi huku jikoni kuna wamama kibao maneno ya taarabu yamewajaa vnywani how can i enter there nipike?nadhani kwa kaz za ndani ntamsaidia,au hata kumpelekea maji bafuni,kumshka mtoto,pia kumwonyesha hali ya kujali,ila kama 2naish kwenye nyumba ye2 au yenye mazngra mazuri indpendnt kitchen unamsaidia kupika,kufua na mengneyo.....ila sasa wanawake wengne kwa akil zao bu2 ukimsaidia 2 ndo inakua tabu,

gud
 
Well inategemea na mazingira ya nyumba unayoishi kwa hizi nyumba zetu za kupanga mmhh ni balaa tupu
 
Back
Top Bottom