Uwiano yupi?
..yule aliyesema ataongoza kwa viboko blaza
Uwiano yupi?
Hiyo quote nimeitoa kule kwenye thread ya JM.
Sasa kwa nini pasitoshe? Mimi nimenukuu maneno yake baada ya kusoma jina uwiano kwenye hii thread na kukumbuka kuwa mtu anayeitwa Uwaiano Maalum aliandika kuwa yeye ni kichwa na anafaa kuongoza Tanzania.
Una hatari weye.....I like the way you put the pieces together. Ila kwa alivyo ashiria NN ni kwamba Uwiano anaye mtaja yeye siyo necessarily Uwiano Maalumu maana haya thibitisha hilo. Yetu macho na masikio.
Sasa kwa nini pasitoshe? Mimi nimenukuu maneno yake baada ya kusoma jina uwiano kwenye hii thread na kukumbuka kuwa mtu anayeitwa Uwaiano Maalum aliandika kuwa yeye ni kichwa na anafaa kuongoza Tanzania.
Tukirudi kwenye mada, kulikwua na thread humu wanamzungumzia Asha Rose Migiro kama mwanamama anayefaa kuongoza Tanzania.
Una hatari weye.....I like the way you put the pieces together. Ila kwa alivyo ashiria NN ni kwamba Uwiano anaye mtaja yeye siyo necessarily Uwiano Maalumu maana haya thibitisha hilo. Yetu macho na masikio.
Kwa nini asiwe necessarily yeye?
Hiyo quote nimeitoa kule kwenye thread ya JM.
uwiano akiamka hapawezi kutosha hapa...
...... UM anavyoandika posts zake hapa huwa napata picha ni wa kiumeni na nahisi haka kabaraza kamembadili jinsia..............
You had my words but in a wrong thread.
Napaache patoshe kwa sababu mwenyewe sitoshei humu.
You are 111111% right, them haters wananibadili jinsia.
Hakuna mwanamke aanefaa kuongoza taifa la Tanzania ..hakuna si Migiro si sophia samba Mama mongela alionekana anafaa kipindi Fulani kumbe nae fiisadi tu na kwenye bunge la Africa wanataka kumuondoa .
Ashakum si matusi wanawake ni watu weak lazima tukubali hatuwezi ku take risk kiurahisi kumpa u commender in cheif mwanamke never .kwa Tanzania kupata wakina Benazir Bhutto si rahisi kama hata tukianzia na humu JF wengi si watu wakujisimamia kwa hoja zao binafsi .
Pili kiimani wanawake mwenyezi Mungu hakuwaweka kuwa viongozi .wao wawe chini ya mwanaume always
Hebu niambieni mwanamke gani katika hawa waliopewa uwaziri au ubunge wa sadaka anafaa?
hiki kiswahili kigumu!