Halooo, habari zenu wanajamii wote, wakaka na wadada. Karibuni mchangia maada hii kwa hoja za msingi. Maranyingi katika jamii huwa tunaona kuwa katika ndoa, baada ya kujifungua mtoto au watoto mwanamke huchakaa ghafla na hadi mwanaume anaonekana alioa mwanamke mwenye umri karibu sawa na mama yake.
Hata kama wataishi maisha ya bila kuzaa, hili pia huweza tokea. Na hata kama wakiishi bila mapenzi yaani ngono. Na tukiachilia mbali kuwa kuna watu waliojaliwa kuwa na umri mkubwa ila bado anaonekana ni kijana.
Je, nyinyi mnadhani tatizo lipo wapi?
Je, inahepukika?
Karibuni.
Hata kama wataishi maisha ya bila kuzaa, hili pia huweza tokea. Na hata kama wakiishi bila mapenzi yaani ngono. Na tukiachilia mbali kuwa kuna watu waliojaliwa kuwa na umri mkubwa ila bado anaonekana ni kijana.
Je, nyinyi mnadhani tatizo lipo wapi?
Je, inahepukika?
Karibuni.