Biblia inasema hivi: enyi wanaume muishi na wanawake kwa akili;hapa ni habari tosha kuwa tangu kale wanawake ni complicated,lakini hii ni kwa wanao amini aya za Biblia.
Thanks malila, nikweli waume waishi na wanawake kwa akili, na hiyo akili yenyewe ni kwamba Men should use there brain to read what the need and wants of a woman.
jAMANI,tatizo ni kwamba when does mwanamke turns to be Jimwanamke?simply because most of those Jimwanamkes have been good wanamkes before,eventualy,wakaanza kua mijanamke,hairiziki,haitosheki,hata ukifanya kama lorain hapo juu anavyosema,mwisho wasiku they will end being mijanamke,sasa suala hapa,je what makes them turns to mijanamke?na lini wanarudi kua wanawake?au ni mpaka wazeeke?kwakua shetani akizeeka hugeuka malaika!
sasa niwakati wanaridhika,maana mnavyobadilika kama vinyonga,na mnavyopretande,hapo ndo mwaniacha hooi!
Lione,
Wanawake ni msitu mzito sana, na sote tunafahamu ndani ya msitu mzito pana nini. Kuna mchanganyiko wa wanyama, wadudu, ndege na kadhalika. Sasa basi ndani ya msitu wanawake kuna sungura, hawa wanakuwa ni wajanja sana ktk ndoa, pia kuna simba, hawa ndo balaa kwenye ndoa kitu kidogo tu atkuparura mpaka ukome.Hali kadhalika kuna punda, fisi, kinyonga, chui, nyati na kadhalika. Ukibahatika ukapata tausi basi we mke wako atakuwa mzuri sana na mpole. Sasa hapo angalia na upime we mkeo anaangukia wapi katika species hizo hapo juu, halafu njoo tujadili
Lione,
Wanawake ni msitu mzito sana, na sote tunafahamu ndani ya msitu mzito pana nini. Kuna mchanganyiko wa wanyama, wadudu, ndege na kadhalika. Sasa basi ndani ya msitu wanawake kuna sungura, hawa wanakuwa ni wajanja sana ktk ndoa, pia kuna simba, hawa ndo balaa kwenye ndoa kitu kidogo tu atkuparura mpaka ukome.Hali kadhalika kuna punda, fisi, kinyonga, chui, nyati na kadhalika. Ukibahatika ukapata tausi basi we mke wako atakuwa mzuri sana na mpole. Sasa hapo angalia na upime we mkeo anaangukia wapi katika species hizo hapo juu, halafu njoo tujadili
Nina sikitika kusema wangu yuko kama siafu anaweza kukuuma,hata kama hujamkanyaga!
Kuna mbinu zozote za kubaini kabla ya kumuoa kuwa huyo mkeo ni species gani? au unasubiri abadilikie huko kwako kuwa simba, kinyonga, tausi n.k?Ni juu yako uchague kabla.. au umbadilishe from Tausi to Simba! Unao uwezo huo endapo utaishi naye kwa akili kama ilivyoagizwa na maandiko kwa wale waaminio.
Biblia inasema hivi: enyi wanaume muishi na wanawake kwa akili;hapa ni habari tosha kuwa tangu kale wanawake ni complicated,lakini hii ni kwa wanao amini aya za Biblia.
Bado sijapata muafaka kabisa wa thread hii. Mnajaribu na wengine mnanipeleka offroad. Swali ni kipi tuki-identify kama hitaji msingi la wanawake ili waume zetu au wake zetu waelewe na kuishi nasi raha mstarehe na sii haki za wanawake kila kukicha na wakati hwajui exactly nini wanataka; kama ni elimu ukiangalia wanawake walosoma sana si wanawake wazuri kwenye ndoa, kama ni mali wanawake matajiri si wanawake bora kwenye ndoa, na kadhalika na kadhalika. Katika ndoa sasa wanawake ndio wapiga kelele na waanzisha kelele ni mivurugano wakiwa wanatafuta au kuhutaji kitu wasokijua!
Sasa kwa wanajamvi JF NI NINI WANAWAKE HUHITAJI/KUPENDA KATIKA NDOA AMBACHO NI STANDARD KAMA WANAUME?
HICHO STANDARD KWA WANAUME WOTE NI KIPI?
mimi sikijui na wala sijawahi kukisikia!
Standard kwa wanaume ni kutafuta pesa/mali na ku-establish nyumbani, kuhakikisha wanaomtegemea wanapata mahitaji yao yote, kuwa tayari kurespond financially therefore to any problem that needs money.......simply standard wants and need for all men under the sun is SUCCESS!