Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukweli ni kwamba hakuna sifa ambazo ni common kwa hawa binadamu, mara nyingi wanachosema wanakitaka mdomoni sio wanachokitaka moyoni
Kuna tofauti kubwa kati ya kupendwa na kufanywa mtumwawanawake wanapenda kurudhizishwq on bed hata uwe maskin na yeye tajiri but ukimkaza vyema he must fall in love kinoma noma
mens weng hawana uwezo wa sex so silaha yao ni pesa
Upo vizuri, kama K~Lyne...!Nyie ndio wale wale wa kugongwa na vizee vya mjini...!
wanapenda pesa
Kumkubali mtu jinsi alivyoWanapenda jinsi tulivyo
vitu vingi......vikiongozwa na master card tembo card
kumkubali mtu jinsi alivyo
kumheshimu
kusamehe
kumsitiri,kutohesabu mabaya
huu ndio upendo na kuna watu wanapractise bado ukipenda kwelii lakini mbaya sana unapompenda mtu kwa kiasi hiki hathamini kile unachokitoa kwake anatake advantage ya upendo wako kwake mbaya sanaa unaanza kuonekana mtumwa wa mapenzi
Kuna tofauti kubwa kati ya kupendwa na kufanywa mtumwa
shkamoo kelele.. Pesa heshima..
Kumkubali mtu jinsi alivyo
kumheshimu
kusamehe
kumsitiri,kutohesabu mabaya
Huu ndio upendo na kuna watu wanapractise bado ukipenda kwelii lakini mbaya sana unapompenda mtu kwa kiasi hiki hathamini kile unachokitoa kwake anatake advantage ya upendo wako kwake mbaya sanaa unaanza kuonekana mtumwa wa mapenzi
Jamani eeh hebu tuambizane, nn huwa kinawafanya wanawake kufall in love kwa wanaume?
heshima , care , pesa matokeo
najitahidi kweli kulinda heshima ya visenti vyangu maana ndo vinanilindia heshma hata ww tukikutana aaaah utaniheshim tu
Kwahiyo hata kwa huyo uliyenaye kinachokupa ujasiri ni visenti vyako ?
Hata mkeo/mchumba wako hapa akiulizwa na mtu nini kinakufanya umpende MWALLA4REAL hatokuwa na jingine la kujivunia kwako zaidi ya visenti vyako?