Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
Anapewa hela kwa ajili ya supu, nauli hasa kama mlitoka mbali na makazi yake.
Samahani mkuu Nimekuongezea hapo kwenye redi,
Haya maneno hayakubaliki ila yanatumiwa.
<br /><b>Nilimmega demu mmoja nikampa mshiko akanitukana mbaya, akaniambia unanipa pesa za nini? umeniona mimi malaya sio akaniambia dont do it again, akaniambia i make love with you because i love you not your money. hanipip akiwa nashida na mimi, anakwenda hewani, tokitoka out for lunch, some time she pay some time i pay.</b>
Matamaa yenu tu! Huwa sitoi chochote baada ya game. Ila akiwa na hitaji namsaidia. Na sipendi na sitopenda kudaiwa pesa baada ya mambo fulani na ndo maana hata siku moja siwezi kutana na mrembo nikaomba game siku hiyo hiyo - ni mpaka nimchunguze yuko katika mwelekeo upi?Inavyoonekana katika tendo hili la ndoa,, wanaume ndiyo huwa wanasikia raha saaaaana kuliko wanawakem na ndiyo maana huwatoa kwa pesa wapenzi wao. Hivi mwanamke mzima unajisikiaje unapomegwa na baadaye jamaa "kukutoa"? Hata kama ni b/f wako.. kwanini kama ni hela asikupe tu kabla au wakati mwingine mpaka akumege kwanza?? Hamjisikii kujidhalilisha?? Kama si kweli, basi mbona wanawake hawawatoi wanaume na pesa ukiacha yale ma sugar mamy?
Au Kufirwa!
CCM ndio wameyaleta hayaLol..wanawake bana!
Wanamegwa,
Wanachakachuliwa,
Wanaliwa,
Haya maneno yote yanakubalika?
Matamaa yenu tu! Huwa sitoi chochote baada ya game. Ila akiwa na hitaji namsaidia. Na sipendi na sitopenda kudaiwa pesa baada ya mambo fulani na ndo maana hata siku moja siwezi kutana na mrembo nikaomba game siku hiyo hiyo - ni mpaka nimchunguze yuko katika mwelekeo upi?
wewe!!Au Kufirwa!
Dora tufanye semina elekezi zawadi nitakupa siku nyingineMimi ukinipa pesa/zawadi papo hapo ntajiona malaya, kama ni zawadi bora unipe siku nyingine......
na ulaaniwe wewe unae mdrive mama wa mwenzio ktk ishu kama hii PUMBAVU MARA SABINI!Khaaaaaaaa!<br />
Mkuu watendee haki hawa viumbe! Kukumbuka mama yako ni mwanamke pia, je hilo neno kinasadifu kwake pia? Mungu akulaani sheitwan wewe.