Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
- Thread starter
- #21
<br />Huu ulimwengu kila kitu wanachofanya wanawake tunaona kibaya!<br />
kwanini badala ya umbeya tusitumie neno kupashana habari?<br />
Naona wanawake kama ni wazuri sana kwenye kuspread information.
<br />
mimi nimetoa habari kama nilivyoisikia jamani, wala sina lengo la critises wanawake!