huyo IGWE hizo HASIRA c ndo wivu au?
Nyie ndio huwa mnajiua, wivu unao lakini unakuwa unaumiwa tu moyoni.....mimi banafsi sitaki umuoneshea wivu cz atajua nimezimika mbaya,hata cm ikiwa biz no ques kwake kawaida tu.
kama ndio hivyo basi nina wivu_but i cannot admit kwamba nina wivu
May be tunatofautiana, mpezn wa kwako kujikausha ya nn jaman,yani mie nikipenda hakuna cha kujikausha najiachia na kuipa nafsi yangu uhuru wa hisia,na wivu wangu lzm niucotrol ila nitamwonyesha kiasi kinachostahili yeye kujua naye lzm anionyeshe wivu wake kwangu ndio naenjoy na kujisikia kupenda na kupendwa!hapa ni lazma tukubaliane kwamba watu/wanaume tuko tofauti na hii ni kutokana na mazingira tuliyokulia,..wivu wa wastani unaweza ukahisi lakn kamwe usiseme kitu(unajikausha)...sasa kama unajua kama mtu ajakuambia kitu kama cha wivu ni hakupendi basi unakosea,....its true mpnz wangu anasema namchukulia poa eti sababu simuonyeshi tu-wivu_lakn kusema kweli nampenda sana ila najikausha kisabuni,......thats how i/we do
uuuuwiiiii!!! ntaua na nzamzima mama mwenye nyumba akiwa hai!!hivi unajua kuwa yule boyfriend wako anatembea na mama mwenye nyumba wako????????