Wanawake hupenda kuonewa wivu……!

mimi banafsi sitaki umuoneshea wivu cz atajua nimezimika mbaya,hata cm ikiwa biz no ques kwake kawaida tu.
 
hapa ni lazma tukubaliane kwamba watu/wanaume tuko tofauti na hii ni kutokana na mazingira tuliyokulia,..wivu wa wastani unaweza ukahisi lakn kamwe usiseme kitu(unajikausha)...sasa kama unajua kama mtu ajakuambia kitu kama cha wivu ni hakupendi basi unakosea,....its true mpnz wangu anasema namchukulia poa eti sababu simuonyeshi tu-wivu_lakn kusema kweli nampenda sana ila najikausha kisabuni,......thats how i/we do
May be tunatofautiana, mpezn wa kwako kujikausha ya nn jaman,yani mie nikipenda hakuna cha kujikausha najiachia na kuipa nafsi yangu uhuru wa hisia,na wivu wangu lzm niucotrol ila nitamwonyesha kiasi kinachostahili yeye kujua naye lzm anionyeshe wivu wake kwangu ndio naenjoy na kujisikia kupenda na kupendwa!
 
nadhani huwa kuna vijitabia fulani ambavyo watu wanavyo navyo mara nyingi huwa ni mapungufu yao kama kutokujiamini au kuona aliyenaye hakutakiwa hivyo anajenga chuki au kuchukia kila mtu ambaye anaona inaweza kuwa rahisi kuwasiliana nae.. na wengi husingizia wivu lakini huwa naamini ni kujiendekeza
 
Back
Top Bottom