Wanawake, hivi mnapotoka nyumbani huwa hamjijui kuwa mmevaa nguo fupi?

mie nilidhani wanaume ndio mnapenda ndio maana wanawake wengi siku hizi nusu uchi. Sio lazima kila fashion inayoingia uige. Hata ya kukudhalilisha pia unaiga? kwani lazima uende na wakati? mwingine miguu kama fimbo, lakini ndani ya kimini na mguuni ana bonge la CL, basi utadhani mbuni katoroka ikulu.
 
mie nilidhani wanaume ndio mnapenda ndio maana wanawake wengi siku hizi nusu uchi. Sio lazima kila fashion inayoingia uige. Hata ya kukudhalilisha pia unaiga? kwani lazima uende na wakati? mwingine miguu kama fimbo, lakini ndani ya kimini na mguuni ana bonge la CL, basi utadhani mbuni katoroka ikulu.


....CL..? wamaanisha nini mkuu...
 
Mwanamke ni mtu mzima,kwanini udhani kwamba una haki ya kumpangia cha kufanya au kuvaa,jamii ya Kiafrika ina penda sana kucontrol wanawake inaboa kiukweli.

Sasa huangaikia nini kama hilo ndio pangilizi lake!
 
...akikaa mbele yangu napiga DOLE nione ataenda kushtaki wapi...
 
Hayo ni mawazo yenu tu, na kwakuwa wengi wenu huwa mnayapelekea mawazo yenu kwenye ngono, ndo maana mnakuwa offside!! Hivi mnajua style asili ya mwafrika katika kuvaa? Waweza chukua mfano wa filamu za kinigeria zile za kiasili au hata ile ya kina bushmen tu.......upaja nje, kitovu nje tena saa zingine hadi kwa wale mabinti unakuta vititi vipo nje kabisa!! Sasa kwangu mimi ukahaba utoke wapi??

Ukishavaa kiutamaduni basi tafuta punda upande, daladala ni mambo ya siku hizi!
 
Basi usihangaike kupandisha ama kuficha, tujionee sinema ya x uliyoitengeneza mwenyewe, na hy ndo concern ya mitishamba

Ndio maana nikauliza mtu mwingine inamuhusu nini to start with,nipandishe nishushe yeye haimuhusu hata hivyo.
 
Mwanamke ni mtu mzima,kwanini udhani kwamba una haki ya kumpangia cha kufanya au kuvaa,jamii ya Kiafrika ina penda sana kucontrol wanawake inaboa kiukweli.

na kwa upungufu huo wa akili...tutawacontrol mpaka mnaingia kaburini...mana hamjiheshimu hata kidogo...
 
Pale unapowashirikisha wenzio na ndio mtowa mada akasema hiyo senema iwachiliwe tu watu wafaidi.

Kufaidi au kutofaidi ni tatizo la huyo mtazamaji binafsi,kwa hiyo yeye ndio atafute ufumbuzi na sio mvaaji.

Nashauri acheni kupigana vita ambayo hamtaiweza, Tanzania ni nchi huru.
 
Kuvuta au kutokuvuta it's my bussiness, ni hiari yangu na haimuhusu mtu mwingine,huyo anayekereka hana kazi na muda wake.

Then tupe uhuru tumwite tunavyotaka kwani nasi tuna uhuru au uko kwako tu?
 
Kwanza sio kila mtu anayevaa kimini anahangaika,na hata kama anahangaika bado ni chaguo lake binafsi.

Hao wasiohangaika ndio tunataka wawe hivyo, wasihangaike waachie sinema tu, na hata wanaweza wakapunguza zaidi hizo nguo zao!
 
Kufaidi au kutofaidi ni tatizo la huyo mtazamaji binafsi,kwa hiyo yeye ndio atafute ufumbuzi na sio mvaaji.

Nashauri acheni kupigana vita ambayo hamtaiweza, Tanzania ni nchi huru.

Naona kama wewe huzingatii huo uhuru, kwani kuna tatizo sisi kusema maoni yetu? Unafikiri dunia hii kila mtu afanye anavyotaka ...... Wapi kwani upo hapa kwenye forum kwa kazi gani? Nini maana ya kubadilishana mawanzo?
 
Naona kama wewe huzingatii huo uhuru, kwani kuna tatizo sisi kusema maoni yetu? Unafikiri dunia hii kila mtu afanye anavyotaka ...... Wapi kwani upo hapa kwenye forum kwa kazi gani? Nini maana ya kubadilishana mawanzo?

Sijasema mtu asitoe mawazo yake,ila na mimi natumia uhuru huu kuexplain kwa walio resplay kwa nilipo comment ambayo ndio hiyo kubadilishana mawazo uliyosema.
 
Back
Top Bottom