Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
Anataka kukupga juju huyo.
Jamani....Ushauri mwingine ni kama nguvu za giza. Hivi huyo IGWE mnataka apendweje? Mwanamke akiwa simpo mnasema anataka kumroga, akiwa anapenda shopping na vitu vya anasa mnasema ana tamaa. Lipi jema?
Mimi naona hiyo ni GESTURE yake tu kwako kwamba anakuwa na amani zaidi moyoni mwake pale anapoona chako ni chake na chake ni chako! Na je wewe unaweza kwenda kwake au bado anaishi na wazazi wake? Ungekuwa na uwezo wa kwenda kwake ungeweza kujua vitu anavyochukua kwako anavithamini kiasi gani!