Kumbe imepitishwa kuwa mabeki tatu wengi wanapendeza kuwa mazombie
kwakweli kumleta msichana mrembo zaidi yako ndani ya nyumba eti awe ndo housegirl. Ipo siku itakula kwako na utakuja kujuta. Ni her umchague msichana wa kawaida tu but si mrembo sana.
wanaume ndo hawaaminiki...,tht's y.
kwakweli kumleta msichana mrembo zaidi yako ndani ya nyumba eti awe ndo housegirl. Ipo siku itakula kwako na utakuja kujuta. Ni her umchague msichana wa kawaida tu but si mrembo sana.
hahahahaaa,,,hiyo hulka ya watu bhana,,,,,unaweza ukabeba mbaya,,,halafu jamaa akamchukua huyohuyo,,,,ushahidi nnao mimi
kwakweli kumleta msichana mrembo zaidi yako ndani ya nyumba eti awe ndo housegirl. Ipo siku itakula kwako na utakuja kujuta. Ni her umchague msichana wa kawaida tu but si mrembo sana.
Hivi hapo msemo wa uzuri mwanamke sio sura ni tabia hatuaaply?
Hivi hapo msemo wa uzuri mwanamke sio sura ni tabia hatuaaply?
Utakuta mkeo kawaagiza mashosti na ndugu zake anatafuta binti wa kazi wa ndani wakiletwa zaidi ya mmoja anachagua asiye na mvuto kuliko wengine eti ili asije akamuibia mumewe.Yaan hawa viumbe hawajiamini kabisa hii nimeona kwa dada yangu alipoletewa wasaidiz zaidi ya watatu
kila kazi ina type zake bwana.
Tuheshimu kazi zao, mbona kwenye muvi majambazi wana sura fulani za kazi yet sexy?
utakuta mkeo kawaagiza mashosti na ndugu zake anatafuta binti wa kazi wa ndani wakiletwa zaidi ya mmoja anachagua asiye na mvuto kuliko wengine eti ili asije akamuibia mumewe.yaan hawa viumbe hawajiamini kabisa hii nimeona kwa dada yangu alipoletewa wasaidiz zaidi ya watatu