Bora nlivokua mshamba baibui na hijab yangu imetosha...wacha tu nionekane wa zamanii
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
na ukiwa na tabia nzuri mahari nje nje! Tena wanajileta wenyewe kukuoa! Si mpaka kisingizio cha mimba.....big up sana mamii kama upo hivyo
infact any lady that does not show skin in this day and age is denying us men our fundamental ryt ya kuona all that is beautiful abt a woman
hahahahahaha lol funny, so is all about you .
show skin please!!! tafadhali usipunguze kitu
muhiimu ngoja jua liwake vizuri na maji yawe ya moto hahahahaha lol
sasa hivi sijaribu ng'oooo lol :redface:
Bora nlivokua mshamba baibui na hijab yangu imetosha...wacha tu nionekane wa zamanii
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
hahahahahaha lol funny, so is all about you .
Kuonyesha too much cleavage sio sexy hata kidogo na inapunguza mvuto.
Kuonyesha kidogo tu ndio yenyewe, kwani tunahitaji kuanza kutumia imagination
yetu!!!!!!!!