Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
....mie nikazitoa nikawapa watu wengine....!daaaa unajua lazima mtu uongee unalofikiria siku zote kweli hawa viumbe ni hatari sana tena sana .anaweza kuchukia kisa yeye mwenyewe ....jana nimetoka job so kurud room ina harufu mbaya kuchek kuna samaki sijui wa aina gan ila wapo kama chapati nikamuuliza wewe uliwahi kula izi akasema hapana why sasa ..mie nikazitoa nikampa watu wengine kumbuka na yeye hakuyala so nitoka kurud smell bado ipo kumuuliza akanuna ..
so nikatoa vyombo nikaosha ili smell itoke ...je kwa mtindo huuu kuchepuka nitaacha kweli ? no ili mwamke akili ije lazima uchepuke
.badilikeni wanawake (jamaaa mmoja alikuwa akiniambia haya sio mimi)