..Dogo naye huwa anajichanganya sana kwenye kauli zake...nadhani CDM wanatakiwa kumtuliza apunguze kukurupuka....Duh, hii kweli kali! Au ndo Mgema akisifiwa sana?
Mi mwenyewe nimeshangaa kuona mbunge wangu analalamikia kutoa kauli ambazo hazijaorodheshwa hapa, huu ni upumbavu wa waandishi makanjanjaNimekaa nasoma siona hata hiyo kauli ya Nassary wanaoipinga, waandishi wa habari bana!
nasari achukue hii changamoto na ajirekebishe.sio mwanzo mzuri kwake
Yaani imepikwa ikapikika!
Hao kina mama ni wa chama gani?Mbona mm nakaa usa River sijasikia
hilo?Hatudanganyiki.
Kwani we mama wa chama gani mpaka unaanza kuleta ubishi?