BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Ukiona mke wako muda wote yuko na simu yake karibu ujue kuna jamaa linachakachua. Yaani akiwa jikoni simu pembeni, bafuni simu pembeni, anafua simu pembeni, anakula simu pembeni. Lakini mke mwaminifu wala hakumbuki simu iko wapi. Yeye jikoni simu iko chumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaani. Hivyo muwe mna observe vitu kama hivyo:target: