Wanawake ambao HAWAJATUMIKA: Vyuoni wapo wengi tu

Kwa wale wanaoponda huu uzi:
Kwa nini mods wameu-rate 5*.
THINK WIDE MY FRIENDS!
 
Umeconfirm vp?<br />
Yaani unathubutu kuuweka uchafu wako hapa ndani!
<br />
<br />

wewe ndo umeona kama ni uchafu, ila huo ndo ukweli, ni ktk pitapita za life na kuandaa familia, sasa ktk kutest before ndo ivyo japo mwanzoni anakuwa hataki, ule mkumbo na uhuru wa vyuoni anaachia, ila ni wachache sana.
 
Bwana Magamba we umeshawaharibia hao wawili unaosema,jitihada zote za kujitunza zimeishia kwako. Au ulijuaje/Confirm vipi???????????
<br />
<br />
Wala huhitaji kufundishwa, na hakuna usumbufu unaoweza kuupata kwa binti anayetaka lakini anaumia, njia zinakuja kufunguka after 3 days, actually haileti raha kabisa, ila baada ya kufungua ndo anakuja kujua utamu wake. Ni bahati tu ilikuwa inatokea kwa mipango mizuri ila baadaye mambo hayakuenda vizuri.
Note: mwenyewe ni mtulivu na nilikuwa selective sana.
 
Jamaa siku hizi hamaindi.<br />
Si ulisikia mwaka huu alipita tu, akacheki afu akaenda zake. Hajachuzi.<br />
Watu walilaani ile mbaya.
<br />
<br />
Kuna tetesi Jakaya huwa anaenda kuhudhuria sherehe hizo kimya kimya and they became good friend yeye na Mswati
 
<br />
<br />
Kuna tetesi Jakaya huwa anaenda kuhudhuria sherehe hizo kimya kimya and they became good friend yeye na Mswati

Sina ushahidi, ila na nimesikia hivo...tena wanada ilikuja proposal wachukuliwe mabinti hapa bongo waende huko kujifunza hiyo culture..
 
huwezi kuona hii kitu kwa macho!iliyotumika na isiyotumika zote mwonekano ni ule ule!

Ubongo pia huwa unaona...tena wenyewe una kazi kubwa ya kuona yote yanayoonwa na njia tano za fahamu!
 
anayetaka kujua nimejuaje basi ani-pm lakini amini nawaambieni nimeshuhudia mwenyewe kwa "macho" yangu na si kuhadithiwa.
Ni kweli wapo tena wengi tu, mi mwenyewe sikuamini lakini ukweli ndo huo.
Hivyo wale wote ambao huwa wanawaghasi hawa wenzetu kwa mawazo ambayo ni kinyume na hiki nilichoshuhudia mimi, waache mara moja.

Nasisitiza wapo, wapo, wapo....., tena wengi tu. Ukiamua ku-search huwezi kosa. Cha muhimu ni kuepuka papara, kuwa na subira, nia njema, busara na nidhamu ya hali ya juu.

Note:
Nime-confirm mwenyewe kuwa sio "temporarily renewed".

eheee ati nini, we jamaa ivi wajua uzuri wa nguo mpaka uvae, aha na ukiweka nguo yako in market alafu aitoki apo kuna tatizo, re----do again ur research it was lakini sio now days,...................kumi kwa wawili,
 
eheee ati nini, we jamaa ivi wajua uzuri wa nguo mpaka uvae, aha na ukiweka nguo yako in market alafu aitoki apo kuna tatizo, re----do again ur research it was lakini sio now days,...................kumi kwa wawili,

Wasioamini ni akina Tomaso...kwamba "siamini kuwa Yesu amefufuka hadi niingize mkono kwenye kidonda chake".
 
Ni kweli wapo, hata mie nimeconfirm tena kwa wawili sehemu/vyuo tofauti. Hivyo nakubaliana nawe kabisa. Wengi wao kinachowasaidia mpaka kufika vyuo vikuu ni misimamo na mazingira yao wakati wa sekondari. Big up kwa waliojitunza.

wewe na mtoa mada mnataka kuconvey nini? kwamba mmeshatoa watu bikra? i think this is not ok kabisa
 
Back
Top Bottom