Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,706
Inawezekana vipi dada mtu mzima usijue ratiba za period yako?
Najua period haina kanuni maalum inaweza kukutokea ghafla lakini kwa dada anaejitambua lazima atachukua tahadhari.
Jana nimejisikisia aibu sana kwenye daladala baada ya dada mmoja kumwaga radhi. Dada ameingia period ghafla kwenye daladala, anajifanya sister du hana hata mkoba awe amabeba zile taulo za usafi, alikua kavaa vile vinguo vinaitwa kondom(skin wao wanaita). Nimejisikia aibu sana jana.
Kwenye daladala bahati nzuri kulikua na mama akampa kitenge ajistili. wadada kuweni makini bhasi msituaibishe.
Najua period haina kanuni maalum inaweza kukutokea ghafla lakini kwa dada anaejitambua lazima atachukua tahadhari.
Jana nimejisikisia aibu sana kwenye daladala baada ya dada mmoja kumwaga radhi. Dada ameingia period ghafla kwenye daladala, anajifanya sister du hana hata mkoba awe amabeba zile taulo za usafi, alikua kavaa vile vinguo vinaitwa kondom(skin wao wanaita). Nimejisikia aibu sana jana.
Kwenye daladala bahati nzuri kulikua na mama akampa kitenge ajistili. wadada kuweni makini bhasi msituaibishe.