Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
mmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Ndugu zanguni nimefutahi sana kuongelea hii mada kwa uchungu....kabla ya kuja ninapotaka kama kichwa cha habari hapo juu...yupo ndugu yangu mmoja alioa mwanamke mmoja tajiri wa dar...wapo wengi waliomshauri huyo mwanamke atamsumbua...loooohhh!!!!kama mnavyojua mapenzi kitovu cha uzembe....aikuchukua mwezi kijana aanze kupiga kelele...sasa nafikiri utoto akashindwa kujua procedure za matatizo ya ndoa akaamua kuongea kwa marafiki...mwanamke akiendeleza libeneke...kweli alikuwa ana hela sana na mpaka sasa......aikuchukua miezi mitatu ile ndoa ikavunjika na kukaribia kuingia guiness book ...yule kaka mpaka leo nikimwona anantia imani ...........
Ndugu mpendwa yawezekana mkeo ana pesa nyingi yawezekana una miaka mitano huna amani sababu ya vituko vyake.,kweli unampenda na huna la kufanya kwa maana labda mna watoto watatu....na mengineyo.leo hii napenda kukwambia lipo jibu la ndoa yako....
Mwanaume siku zote yeye ni kichwa cha nyumba kichwa cha familia..hakuna sehemu hata kwenye maandiko wameandika mwaname akikosa pesa mwanamke aanakuwa kichwa...sasa basi kwa msaada tu ujachelewa ...anza sasa usikubali mkeo anafanya ujinga unakaa kmya kufikiria pesa zake ama watoto wako....mwite mkeo mkalishe mwambie unajua sasa nimechoka mimi na wewe hu is CAPTAIN INCHAGRE??
atakachojibu kifanyie kazi kuanzia siku hiyo hiyo akijibu wewe.....piga makofi ....mtajie makosa yote kama kurudi usiku...na mengineyo...wanwake muache kuwanyanyasa wenzenu kisa vipato ama jeuri za pesa....tuwe na mapenzi ya kweli
Tunawatakia ndoa njema
Ndugu zanguni nimefutahi sana kuongelea hii mada kwa uchungu....kabla ya kuja ninapotaka kama kichwa cha habari hapo juu...yupo ndugu yangu mmoja alioa mwanamke mmoja tajiri wa dar...wapo wengi waliomshauri huyo mwanamke atamsumbua...loooohhh!!!!kama mnavyojua mapenzi kitovu cha uzembe....aikuchukua mwezi kijana aanze kupiga kelele...sasa nafikiri utoto akashindwa kujua procedure za matatizo ya ndoa akaamua kuongea kwa marafiki...mwanamke akiendeleza libeneke...kweli alikuwa ana hela sana na mpaka sasa......aikuchukua miezi mitatu ile ndoa ikavunjika na kukaribia kuingia guiness book ...yule kaka mpaka leo nikimwona anantia imani ...........
Ndugu mpendwa yawezekana mkeo ana pesa nyingi yawezekana una miaka mitano huna amani sababu ya vituko vyake.,kweli unampenda na huna la kufanya kwa maana labda mna watoto watatu....na mengineyo.leo hii napenda kukwambia lipo jibu la ndoa yako....
Mwanaume siku zote yeye ni kichwa cha nyumba kichwa cha familia..hakuna sehemu hata kwenye maandiko wameandika mwaname akikosa pesa mwanamke aanakuwa kichwa...sasa basi kwa msaada tu ujachelewa ...anza sasa usikubali mkeo anafanya ujinga unakaa kmya kufikiria pesa zake ama watoto wako....mwite mkeo mkalishe mwambie unajua sasa nimechoka mimi na wewe hu is CAPTAIN INCHAGRE??
atakachojibu kifanyie kazi kuanzia siku hiyo hiyo akijibu wewe.....piga makofi ....mtajie makosa yote kama kurudi usiku...na mengineyo...wanwake muache kuwanyanyasa wenzenu kisa vipato ama jeuri za pesa....tuwe na mapenzi ya kweli
Tunawatakia ndoa njema