Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Hizi ni habari mbaya kwa wanavyuo na wanaharakati.mimi ni mwanachuo,ukweli ni kwamba wakati jambo la kubadili muda linaanza niliwaambia wanachuo bila mafanikio kuandamana kupinga jambo hilo kwani ni njama.hawakunielewa.ukweli ni kwamba munaowaita wasomi wala hawako hivyo japo si wote,wengi ni bora liende.tungeandamana wakati ule ingesaidia.niko tayari kukosolewa,lakini wengi hawana interest na critical analysis,ila madesa tu.so wanaharakati mnapoteza muda na pesa,hata vyuo vikifunguliwa,hawataenda,na wengi wanaoweza kupiga kura hawatapiga.vyuo siku hizi ni madanguro tu,nenda kama hamtakuta kondoms kila mahali hadi public places