TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,846
- 11,210
Huyo mwanamke anaonesha hana adabu hata chembe;
1) Ilikuwa haina haja yeye kukuagiza wewe mafuta kama mumewe kisha jibizana nae (hayo ni mambo yao). Alikuwa anamuonesha mumewe kuwa anauwezo wa kuyapata mafuta? au alikuwa anakupa wewe "green light" lakini ukawa hujijui?
2) Ilikuwa haina haja kabisa ya kujidai kujiliza, alikuwa anataka "sympathy"?
3) Alikuwa hana haja kabisa ya kukuelezea mambo yake na mumewe, walipooana walikushauri wewe? mambo yake ilikuwa anatakiwa ayamalize na mumewe.
Kwa mtazamo wangu, huyo manamke ana yake na haihusiani na mumewe. Na wewe ni pia si mtu wa maana kwani mambo kama haya ya kutongozana kwenu usingeyaleta jamvini. Hamna cha mafuta wala ufuta ni m'washo tu.
baaaaaaaaaaaaasssiii!!