- Thread starter
- #41
tena wewe na kauhandsome kako huitaji lakionea ni vielfu kadhaaYesu Kristu Maria na Yosefu
Ulitaka kusema nini manka???
tena wewe na kauhandsome kako huitaji lakionea ni vielfu kadhaaYesu Kristu Maria na Yosefu
Ulitaka kusema nini manka???
Yesu Kristu Maria na Yosefu
Ulitaka kusema nini manka???
wewe nikikutaka haichukui wiki
wanaojifanya kuwa na mwanaume mmoja mwaminifu wamebaki kulia umri unasonga ndoa hamna, wanaume cheza nao kwa makininyie ndo mmetufanya tusiwe waaminifu inabidi tukae kwa machale machale aaagh
nyie ndo mmetufanya tusiwe waaminifu inabidi tukae kwa machale machale aaagh
huna haja ya kuwaeleza hao wanaume wenzio manake labda wana matatizo ya kibaiologia sasa sijui wasaidike kivipimi nilishazoeaga lile jina jengine la Marytina, uzuri unaanzaga kabisa kujitambulisha ndo inakuwa rahisi. Ulichosema ni kweli kwa kiasi kikubwa tunabisha basi tu.
wanaojifanya kuwa na mwanaume mmoja mwaminifu wamebaki kulia umri unasonga ndoa hamna, wanaume cheza nao kwa makini
kivipi!Hahahahaha UCHOYO NA ROHO MBAYA VITAKUUA WEWE DADA YANGU
wewe ni wa kukupeleka kihoteli cha elfu 40 utanililia kila sikuctegeki mimi..ni mgumu kama jiwe la kujisugua mguu.
mmoja ni mmasai kwa kabilaNa wewe una wanaume wangapi?
mmoja ni mmasai kwa kabila
Every Man Wants To Try Sex With A Prostitute
Around one in five New Zealand men has visited a prostitute at least once..............upo?
ukiona mwanaume wako haibwi basi jua hana hela na au sio mzurikumbe unapenda kushare shost utakuwa una mume wa mtu wewe
ni wachache sana
mimi namfahamu mdada/mmama flani ofisini yaani ni 100% mwaminifu mmewe yupo hapo DSM
kumbe unapenda kushare shost utakuwa una mume wa mtu wewe
Word...........!@Arusha, baba mngoni, mama mchagga, mtoto wa pili
Sio kwamba nawatukana kaka zangu ila nimegundua wanaume wooooote ni malaya
Ukimsikia mwanaume anauponda umalaya basi jua kuna mambo haya:
1.Finencial Statment yake hairidhishi-i.e hata kama anaingiza hela nzuri kwa mwezi majukumu na mikopo vimenzonga
2.Biological defects (physiologically ana matatizo) a.k.a sio buheri wa afya
3.Hofu ya mungu (kuwaza sana life after death) HII IKO DHAIFU
My take:Mdada usije ukawaza kumwacha mmeo/bf kisa umeproove katoka nje.Mmeo kama ni akionea (laki haimpigi chenga) jua unashare na mdada mwenzio/wenzio either kama nyumba ndogo au kwa hit and run stlye.
wewe ni wa kukupeleka kihoteli cha elfu 40 utanililia kila siku
ngoja nitafute mbaya na ila asie na hela duh nani ale mawee mwe heri kushear kuliko kufa masikiniukiona mwanaume wako haibwi basi jua hana hela na au sio mzuri
MIMI SIO MARIA MARIA BALI NI marytinaNi bora maria umejijua ulikosimamia kuwa si wewe ila jirani...nakumbuka niliwahi ona post yako kuwa unataka kumsaliti mtarajiwa wako aliyesafarini nadhani ulishafanya na si mara moja sio maria maria?