Kwani wanaume wana-cheat nani?? na wanawake nao ni hivyohivyo....hawaaminiki.
Du nadhani ni kumwaga ugali na mwingine mboga. Wanawake wanacheat kidogo lakini kabla ya kuolewa wanazini zaidi ya wanaume nendeni vyuoni muone wanawake wanavyochukua waume za watu na wao wakitegemea kumpata mume mwaminifu.