Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,466
Trust me, wanaume wa tz ndo my only number, hata mkenya staki kusikia! Watz hata waishe wote, bora nihamie kwenye ukameruni (god forbid). Ila mweupe, over my dead rotten body!
Kwani unanionaje bro?
Again hapa pananichanganya, unachagua kumpenda mtu au unachagua kuwa na mtu. kama ni kumpenda, sidhani kama moyo unaangalia rangi, kabila, taifa au hata dini.
Lets make records clear hapa, halafu ili watu waelewe tuseme unachagua kuwa na mtu gani na kwanini!
Personally, nitaenda kwa moyo utakaponipeleka, ukinipeleka; otherwise for convenience nitakuwa na yule ambaye naye anataka kuwa na mimi na hakuna gharama (si lazima pesa) za kurelocate, kugombana na familia, etc.