Utakuta kuna mwanaume ana Sura ya ajabu, sura ya kutisha, sura utafikiri anakunywa Gongo kila saa, mpaka wanawake wanamuogopa kumuangalia. Mwanaume kama huyu mwanamke gani atamtaka, mwisho wake wananza kutumia wapambe kumpelekea pesa huyo mwanamke. Mwisho wa siku tamaa ya wanawake hujishitukia katembea na mtu la ajabu kisa pesa.
Wadau mnasemaje.
Wadau mnasemaje.