IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,452
- 7,357
my dear.....mimi naona we utulie....achana na waume za watu....wana wake zao.....
Msichana ukijituliza ndio unapata mtu wa aina yako....coz utaheshimika....
sasa ukiwa kicheche....heee....hawa ndugu zetu hutakaa uwaelewe......
watakubandika....watakubandua....bandika...bandua.....
wanaume wa.com_wanawake wa.com wote ni full bandika bandua(vigeu geu)....Preta usinune plz ni ka ukweli tu