Wanaume wenye ndoa ni wazinzi kuliko mabachelor

No comment, si unawaomba Mods wafute profile yako so na comment yangu itafutwa punde.
Au umeghairi nichangie?
 
kwani wewe ni mtoto unaogopa dudu?wakati anaingia na kutoka bila kizuizi chochote.

lidudu unalosemea ni hili......
images
 
Kwani Preta wewe unamuogopa huyo?
wakati unalala naye usiku kucha wala huhangaiki kumfukuza humo ndani.
wenzio
hawataki hata atoke nje.

hili dudu bwana...ukitaka nikuambie siri zote tokea nilipozaliwa hadi leo.....basi lilete......zaidi ya hapo....madudu mengine yapo poa....hata buibui.....
 
hili dudu bwana...ukitaka nikuambie siri zote tokea nilipozaliwa hadi leo.....basi lilete......zaidi ya hapo....madudu mengine yapo poa....hata buibui.....

Preta,
Mimi nafanya kupita tuu,ukinogewa mimi nitakuwa sina kosa.
maana nimesha sign contract na mtu sasa kwa wengine nafanya
kupita tuu speed 120m/s.
 
kuna haka karesearch nimekaona mahali

eti
wanaume wenye ndoa katika katika10 -8 wanatoka/wanatamani wanawake wa nje

wanawake ambao hawajaolewa asilimia 90 wanatamani kuolewa

wanawake walioolewa asilimia 99 wanatamani kutoka kwenye ndoa zao

je kuna kaukweli jamani?


Labda kwenye Kutamani ,lakini sio kutoka nje ya ndoa hiyo ratio nin kubwa mno unajua kama tunaangalia jirani na ofisini halafu tunaconclude ni shida maana , wapo wadada nnao wajua kama kama watano hivi ni kutoka maofisi na mitaa mbalimbali wana vidume vya nje na wana ndoa zao safi tuu na wanawapa vitu na hela washkaji , wakidai waume zao hawawapendi tena , na hisi ni vitabia vya watu na kujustify unafanya kitu fulani sababu husband/wife anasababisha maana same love au vitu unavyofanya nje ungerudisha ndani ungepata return nzuri as well . Mimi naona ni tabia ya mtu tuu sio wanaume wanazidi au wanawake ! Mfano mume anaweza kurudi usiku kalewa na hajafanya ngono nje kabisa na mama aliyrudi jioni mapema nyumbani mchana kashachapwa saana na kidume chake wewe unaamini yuko salama kuliko aliyechelewa usiku ,very wrong !
 
niliuliza tu bwana kwani nilisema najitoa?
Ok nimekupata ma dear

kuna haka karesearch nimekaona mahali

eti
wanaume wenye ndoa katika katika10 -8 wanatoka/wanatamani wanawake wa nje

wanawake ambao hawajaolewa asilimia 90 wanatamani kuolewa

wanawake walioolewa asilimia 99 wanatamani kutoka kwenye ndoa zao

je kuna kaukweli jamani?
Reaserch yako ina data za uongo, data kamili ni kama ifuatavyo.
Wanaume asilimia 100 wanatamani kutoka nje yandoa na asilimia 50 wanatoka nje ya ndoa.
Wanawake asilimia 99.9 wanatamani kuolewa
Wanawake asilimia 100 wanatamani kutoka kutoka nje ya ndoa na asilimia 98 wanatoka nje ya ndoa.

Hii inamaanisha kuwa ukiwa na mkeo ujue watu wanaendelea na utaratibu the same kwa wanaume pia
Cha umuhimu katika mahusiano usijilikane na mwenzio na usitelekeze,hapo mambo yatakuwa safi kwa kila mmoja kumuamini mwenzake
 
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">na mtu akiomba clearance ya kupita kwenye anga yako.....Afrodenzi..?</span></font></font>
<br />
<br />
Well
You have to fly 1500 ft and below ..
Kwa sasa i ningeomba u orbit overhead
Msasani .. wait there for other instructions ..
........
 
Mapenzi ni big G yanatemwa km bazoka.ikifkia kutoka.utamu unakuwa umekwisa
 
kuna haka karesearch nimekaona mahali

eti
wanaume wenye ndoa katika katika10 -8 wanatoka/wanatamani wanawake wa nje

wanawake ambao hawajaolewa asilimia 90 wanatamani kuolewa

wanawake walioolewa asilimia 99 wanatamani kutoka kwenye ndoa zao

je kuna kaukweli jamani?


Haya sasa.... darhotwire hiyooooooooooooooo
 
<font size="4">kuna haka karesearch nimekaona mahali<br />
<br />
eti<br />
wanaume wenye ndoa katika katika10 -8 wanatoka/wanatamani wanawake wa nje<br />
<br />
wanawake ambao hawajaolewa asilimia 90 wanatamani kuolewa <br />
<br />
wanawake walioolewa asilimia 99 wanatamani kutoka kwenye ndoa zao <br />
<br />
je kuna kaukweli jamani?</font>
<br />
<br />
kama facts hzi zinatokana na research ya kweli na wala sio subjective feelings basi ni kweli kabisa kwasababu mimi naamini katika tafiti. Labda ungetusaidia mambo yafuatayo:
1. Utafiti huo ulifanyika wapi?
2. Taasisi gani/ nani amefanya utafiti huo?
 
Back
Top Bottom