Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,326
- 18,790
hahahahahah Tech bwana vikuku vya kienyeji vitamu mbaya we acha tu hasa vile vichafu vichafu. kwenye 6x6 wala husikii harufu mbaya ya ripstick wala perfume mbayambaya.
Kifulambute bana.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahah Tech bwana vikuku vya kienyeji vitamu mbaya we acha tu hasa vile vichafu vichafu. kwenye 6x6 wala husikii harufu mbaya ya ripstick wala perfume mbayambaya.
hao wa kithungu una jeuri nao basi au uunajifagilia tuu?
hao wa kithungu una jeuri nao basi au uunajifagilia tuu?
hata mimi nina wasiwasi na hili.......
kwani wana bei siku hizi basi?ukiwapiga $50 umewachanganya vibaya mno.hata mimi nina wasiwasi na hili.......
hadi bata unakula? Au unakula tu vikuku?
Vikuku vya kienyeji haviendekezi kucheza kwenye matope kama bata.bana.wana jiheshimu sana.
sasa kuku wa kidhungu analazimisha uchezee matope wakati wewe sio mla bata bana,mimi nachukia sana bebii.
tulia na wifi yetu bwana acha kuvunja amri ya sita mungu hapendivikuku vya kienyeji haviendekezi kucheza kwenye matope kama bata.bana.wana jiheshimu sana.
Sasa kuku wa kidhungu analazimisha uchezee matope wakati wewe sio mla bata bana,mimi nachukia sana bebii.
kwani wana bei siku hizi basi?ukiwapiga $50 umewachanganya vibaya mno.
Kama HAUJAOA au HAUJAOLEWA utakuwaje MZINZI?
rate ya leo ni ngapi.........?
Kama HAUJAOA au HAUJAOLEWA utakuwaje MZINZI?
tulia na wifi yetu bwana acha kuvunja amri ya sita mungu hapendi
dah si ungebakiza hata chenji jamani? Unamaliza kabisa?kwani si tunapita tuu bana,...tunarudi home taratiiibu kama umemwagiwa maji
vile na kulalamika sana uchomvu wa kukaa kwenye foleni muda mrefu.
hautakiwi kuliamsha maana ukigusa tuu umeshitukiwa umekula meza ya nje.
dah si ungebakiza hata chenji jamani? Unamaliza kabisa?