Kumegwa sijamegwa..! Ila nimeshtushwa na tabia zinazofanana kwa wanaume wote wanne za kuonyesha seriousness kwenye post zao lakini hawamaanishi hivyoo..! Bora tu waandike NATAFUTA DADA WA KU SEX NAE ijulikane moja!
Unataka kujua ID yangu ya kila siku? Teh teh teh.
Naam Wendi kwi kwi kwi kwi kwi.... kama unaona nomaa mbele ya kadamnasi basi unaweza kuninong'noneza lol!
:fencing::fencing::fencing:
Kweli mkuu mwenyewe 2014 lazima nibebe mchumba niliye mpata JF
Mimi ni ........ Nimekunong'oneza umesikia?
Sogea karibu banaa!!! Mbona unanong'oneza kwa woga!!! Tuko wenyewe tu hapa hakuna atakayekusikia kwikwikwikwi
Teh teh teh teh
atakuwa kamegwa mpaka alionana naohahahha...umemegwa nini? funguka. ila hapa naona watu wanataka kumegana tuu toa utamu huo wacha kubania lol
atakuwa kamegwa mpaka alionana nao
Kweli wanaume humu jf wengi ni waongo na hawako serious kabisa wanataka kufanya sex tu. Na wengine wameshaoa na kuenda kukutana nao ukakataa kufanya nao sex ndo biashara imeishia hapo sitaki hata kusikia mie kutafuta mchumba jf
Unajua kuna watu wanatoa matangazo yanaonyesha wanahitaji wenza ... Sasa huko kwenye PM ndiko balaa linakoanzia, na asipoleta balaa huko mkionana tuu ni sex ndio inatawala. Nimekoma mwaya!
Unajua kuna watu wanatoa matangazo yanaonyesha wanahitaji wenza ... Sasa huko kwenye PM ndiko balaa linakoanzia, na asipoleta balaa huko mkionana tuu ni sex ndio inatawala. Nimekoma mwaya!