BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
e e e e e e .....weee weee......hapa nimepiga picha mbaya sana.....
hunishindi mie, ila wanaume wa siku hizi wanahitaji kupepewa.....
e e e e e e .....weee weee......hapa nimepiga picha mbaya sana.....
Jamani demand ya MAHANDSOME mjini imeongezeka, inabidi watu wacope na demand na wao by nature sio good looking, ndo kujituma na cosmetics za mchina! Ila mbona hata mastar kama Brad Pitt, George Clooney na D.Beckham wanapaka sana hizo kitu ili SHOTS ZITOKE CLEAR. I guess kwenye usanii U GOTTA LOOK DIFFERENT than the rest.!!!!!!!!
uhandsome wa mwanaume unapimwa mfukoni /wallet si kwa kupaka shedo
mwanaume unapaswa kuwa smart, msafi, unanukia full stop! Mapowder hayamuhusu, si kuwageza kina brad pitt
mwanaume lipgloss!
Mwanaume shanga!
Mwanaume foundation!
Loh wakiume hao sio wanaume
Eti na lipshine kweli ukiwa rafiki yangu nikakuta umepaka lipshine nakupiga kibao!!na urafiki unaisha dume linatembea na kakopo kamafuta eti midomo inanikauka damn!!!
Lol!! kwa nini mwanamke ahisi hivi?? is it bcoz mwanamke anatakiwa awe mrembo zaidi ya mwanaume au kuna jingine??Huyu mwanamziki nampenda sana kwa kuwa vijana wangu (5 and 2 years) wanapenda miziki yake. Ila sipendi kabisa mavazi na anavyojiremba. Mpaka mwanamke waweza kujiona mwanaume ukiwa na mtu kama huyu.
Bob Junior a.k.a Sharobaro - Nanini - YouTube
awali wanawake na wasichana ndo tulizoea kuwaona waki pambana na cosmetics lakin saiv kibao kimegeuka almost nusu yao wanawapiku female shangaa wanaume wanatumia carolite wanapaka lipshine kalikiti womenglases wanavaa,wanatinda nyus yan cjui ni nini kimewapata!
mwanaume anapaka lipcare, hii haibadirishi rangi ya midomo wala haing'ai, bali huzuia midomo kuchanika.
Huyu mwanamziki nampenda sana kwa kuwa vijana wangu (5 and 2 years) wanapenda miziki yake. Ila sipendi kabisa mavazi na anavyojiremba. Mpaka mwanamke waweza kujiona mwanaume ukiwa na mtu kama huyu.
Bob Junior a.k.a Sharobaro - Nanini - YouTube
awali wanawake na wasichana ndo tulizoea kuwaona waki pambana na cosmetics lakin saiv kibao kimegeuka almost nusu yao wanawapiku female shangaa wanaume wanatumia carolite wanapaka lipshine kalikiti womenglases wanavaa,wanatinda nyus yan cjui ni nini kimewapata!
Ulishawahi kusikia wimbo wa Vijana Jazz "Ngoma?" Jiulize mwanaume anasuka nywele, anapaka wanja na kunyoa nyusi, shanga kiunoni, lipstick/lip shine, anapaka perfume not cologne, pamoja na kubeba hii mikoba ya kina Rehmtullah, anataka nini huyo?
Huyu mwanamziki nampenda sana kwa kuwa vijana wangu (5 and 2 years) wanapenda miziki yake. Ila sipendi kabisa mavazi na anavyojiremba. Mpaka mwanamke waweza kujiona mwanaume ukiwa na mtu kama huyu.
Bob Junior a.k.a Sharobaro - Nanini - YouTube
Eti mikoba ya kina Remtula. Lol.
heeeeeeeeeeeeee shikamo! nimekumic wewe kaka yangu siku hizi wanaweka mpaka dawa nywele ziwe zakihindi mweeeeeNi kweli wapo,wengi wao ni wasanii au maarufu fulani na wanaowafuatia ni wale wa kunde lile baya. Mwanaume kamili wa kawaida hawezi kutinda nyusi na kuvaa shanga hata kidogo!!!