Wanaume wengi nchini hawana nguvu za kiume

Nina dawa kama una hilo tatizo uta ni pm lakini gharama kidogo.
 
Wanabodi.

Kaimu Mkurugenzi msaidizi wa Kitengo cha Tiba Asilia kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Paulo Mhame amesema wanaume wengi hawana nguvu za kiume.

Alisema pamoja na tatizo hilo kuwa kubwa, cha ajabu serikali bado haijakubali kutumia pesa kufanya utafiti wa kuandaa dawa ya kisasa ya kutibu matatizo ya nguvu za kiume...watu wengi wanamiminika kwa waganga wa asili kusaka dawa alisema.

Mpaka sasa waganga wa jadi zaidi ya 1,000 wamejiandikisha nchini kwa wanatoa dawa za kutibu upungufu wa nguvu za kiume,

Hili ni tatizo la kisaikolojia zaidi kuliko kimaumbile.

Mwanaume yoyote atakayethubutu kutafuta dawa amejimaliza, maana kisaikolojia hatajiamini tena isipokuwa ataamini madawa.

Kuweni makini ndugu zangu!
 
hakuna fedhea mbaya duniani kwa mwanaume kama hii,bora ukose pesa lakini jogoo awike asikwambie mtu kitu,wanawake walipendelewaje
 
Watu hawajiamini,mwanamme kamili bao la kwanza ni ndani ya dakika 1 hadi tano,sasa watu wamemezeshwa sumu kwamba lazima uende nusu saa bao 1 ukienda chini ya hapo basi una upungufu wa nguvu za kiume,wanaume tujiamini,kama unataka kupiga bao moja kwa nusu saa zipo njia natural(withdrawal) na great foreplay na si kutumia madawa,achaneni na hayo madawa.

Hii ya nusu saa sijawahi kuexperience. Najua kati ya dakika kumi mpaka ishirini inawezekana kabisa na wala hauhitaji dawa yoyote. Ila inatakiwa stamina ya kutosha.
 
Sio majoka ya mdimu...yanazuia watu kuchukua ndimu huku wao hawawezi kula

Mimi nadhani ni majoka ya kibisa kuliko ya mdimu. Joka la kibisa haliumi pamoja na kupigiwa ngoma na kushikwa shikwa na wacheza ngoma. Wakati mwingine mpaka kichwa chake kinaingizwa mdomoni mwa mcheza ngoma lakini lenyewe limezubaa tu.
 
Mimi nadhani ni majoka ya kibisa kuliko ya mdimu. Joka la kibisa haliumi pamoja na kupigiwa ngoma na kushikwa shikwa na wacheza ngoma. Wakati mwingine mpaka kichwa chake kinaingizwa mdomoni mwa mcheza ngoma lakini lenyewe limezubaa tu.

I have added something in my understanding,lol! Yale ya wakati ule wa kikundi cha ngoma cha Muungano
 
Hii ya nusu saa sijawahi kuexperience. Najua kati ya dakika kumi mpaka ishirini inawezekana kabisa na wala hauhitaji dawa yoyote. Ila inatakiwa stamina ya kutosha.
Mkuu 20-30 minutes kwa goli la kwanza si mbaya. Ajabu ni kwamba kwa dakika hizo demu wangu anakua ashapiga tatu. Inakuwaje na mabingwa wanatuambia wanawake hawafiki kirahsi?
 
Ni tatizo la kisaikolojia tu.
Kama unampenda mpenzi wako, mnaweza mkakesha mnafanya mapenzi, usiku na mchana. Lakini ukimchoka tu basi tena, unamuona kama karaha. Hata afanyeje uume hauwezi simama tena. Unabakia kumtaza tu. Poleni sana dada zetu.

Lakini mbona hata hawa wadada na wao ni hivyo hivyo tu. Utasikia anakwambia "maliza haraka mie nataka kulala"


Wanabodi.

Kaimu Mkurugenzi msaidizi wa Kitengo cha Tiba Asilia kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Paulo Mhame amesema wanaume wengi hawana nguvu za kiume.

Alisema pamoja na tatizo hilo kuwa kubwa, cha ajabu serikali bado haijakubali kutumia pesa kufanya utafiti wa kuandaa dawa ya kisasa ya kutibu matatizo ya nguvu za kiume...watu wengi wanamiminika kwa waganga wa asili kusaka dawa alisema.

Mpaka sasa waganga wa jadi zaidi ya 1,000 wamejiandikisha nchini kwa wanatoa dawa za kutibu upungufu wa nguvu za kiume,
 
ahahahaaaa kwaio mnataka kutuambia nini sasa mimi sijaelewa tena zitafuteni popote pale zilipo
 
Back
Top Bottom