Wanaume wengi nchini hawana nguvu za kiume

heri msiwe nazo muache uchangudoa..
hii itakuwa ni natural way ya kupunguza maambukizi mapya ya ukimwi..
ukisimamisha kimoja leo hadi mwakaniii .....safi
Naona mnatafuta kisingizio cha kutoka nje ya ndoa!
 
heri msiwe nazo muache uchangudoa..
hii itakuwa ni natural way ya kupunguza maambukizi mapya ya ukimwi..
ukisimamisha kimoja leo hadi mwakaniii .....safi

na wewe utakuwa na li plastiki lako unajiliwaza au sio?
 
ritz wengine wananza kuchokonolewa chemba zao wakiwa wadogoooooooo! hata kama alizaliwa rijali unakuta baada ya muda na yeye ni victim, enzi hizo kabla sijaolewa nilikutana na mkaka, nikasema ni mkaka wa haja, ila wakati tunakiss for the first tym nikaona ukimshika makalio anapiga ukunga wa ajabu, nikasema hichi nini, hebu leo nijionee, ukimuweka v.i.d.o.l.e anafurahia mpaka basi anataka niendelee tu kumuweka tu, lakini ku-du ha du wala nini?? na hiyo ni miaka ya 2000 alikuwa 24yrs old mimi ndio tu nimemaliza A level. lol nilishangaa sana na ndio ukawa mwisho wangu mi na yy! so mambo mengi yanachangia now days guys kuwa hawako imara kama simba! ila huyo kaka anatamani kuwa normal mpaka kesho, hajaoa, ila huwa tunawasiliana na ninampa moyo kuwa akiamua anaweza kuacha na akawa mzima tena!

Usiniambie uliliwa na p.u.n.g.a! Du! Malizia stori bana enhe na wewe uli-enjoy?
 
Last edited by a moderator:
Watu hawajiamini,mwanamme kamili bao la kwanza ni ndani ya dakika 1 hadi tano,sasa watu wamemezeshwa sumu kwamba lazima uende nusu saa bao 1 ukienda chini ya hapo basi una upungufu wa nguvu za kiume,wanaume tujiamini,kama unataka kupiga bao moja kwa nusu saa zipo njia natural(withdrawal) na great foreplay na si kutumia madawa,achaneni na hayo madawa.
Naungana nawe!
 
Tafsiri ya nguvu ya kiume ni kusimamisha au kuzalisha? Isije ikawa na hawa jamaa wanachanganya habari. Ila juzi tena kuna ishu nyingine kuwa mabodaboda wako hatarini kuwa wagumba. Hii ni hatari
 
Tafsiri ya nguvu ya kiume ni kusimamisha au kuzalisha? Isije ikawa na hawa jamaa wanachanganya habari. Ila juzi tena kuna ishu nyingine kuwa mabodaboda wako hatarini kuwa wagumba. Hii ni hatari

Ah, hao mabodaboda wacha wawe wagumba wamalize kizazi cha mabodaboda, wahuni sana, last week mwenzao kaja kapita upande wa kushoto wakati nimesimamisha gari kumpisha mtoto avuke akaja kumgonga na kuanza kunishutumu mie wakajaa kama nzi pale, nina bahati nilikuwa na silaha wakasogea mbali leo ningekuwa marehemu kwa kosa la mhuni mwenzao nae kaanguka kaumia kichwa. Wakome though am sorried to the passengers!
 
Usiniambie uliliwa na p.u.n.g.a! Du! Malizia stori bana enhe na wewe uli-enjoy?
atanilaje na haifunction jamani mkuu Bondpost? hana meno my dear, hang'ati kabisa, yaani inakoroma! ni huruma kwa kweli!
 
Last edited by a moderator:
Katumia standard gani huyu? Kama mtu ana wanawake watatu na kapiga moja moja, si kwamba hana, ila kagawa. Wanaonunua hizi dawa ni wale wanaooa wake wengi na kila siku ana zamu. Siye wenye mke mmoja aka, kila siku inakuwa mpya. Pombe pia inafanya vijana wengi kuwa na nguvu hafifu. Acheni kunywa mipombe mikali.
 
Wanaume wengi naamini wako poa kabisa zaidi ya inavyodhaniwa, kuna vitu kadhaa vinachangia watu kuonekana hawana nguvu za kiume au kukosa kabisa nguvu za kiume. Lakini pia wakizingatia mambo flani hakika wanakuwa sawa kabisa.

Kwanza kutojiamini; mwanaume akikosa kujiamini anapokuwa katika tendo la ndoa ni kawaida kukuta uume unakosa nguvu. Pili- Matumizi ya pombe. Wanaume wengi ambao wanatumia zaidi pombe (hasa pombe kali au ulevi wa kupitiliza) kamwe huwezi kuwa mzuri wa ngono, wengi wanajidanganya kuwa ukinywa pombe kali eti unachelewa kukojoa.... nadhani ni dhana potofu. Kwa mtu unayeweza kuchezea na ngono vizuri hata ukiwa mkavu bado unaweza kufanya uchelewe kukojoa. Tatu - Uwezo wa kuwa tayari wa kushiriki hiyo ngono... jamani ngozo huwa inajengwa na mawazo (feelings) ingawa nguvu inatumia pia, sasa mara zote ufanywaji wa ngono ni lazima uwe umeandaliwa kwa mawazo, kama mtu hakujiandaa kushiriki ngono kimawazo kamwe uume hauwezi kusimama au hata kama utasimama ushiriki wake hauwezi kuwa mzuri. Hii ina maana kuwa mtu mwenye msongo wa mawazo kamwe hawezi kushiriki vizuri. Nne - Matumizi ya tumbaku (sigara) na madawa ya kulevya, haya ndo balaa zaidi. Mtu ambaye anatumia hayo mambo kwa muda mrefu inapunguza nguvu za kiume. Kwetu sisi wanaume ubovu wake ni kuwa unapohitaji kufanya ngono lazima uume (mboo) usimame, hii ina maana moja kwa moja kama uume haukusimama basi tayari inakuwa tatizo. Kwa wenzetu kina dada (kina mama) hata kama hana hisia, au hana nguvu au vinginevyo ngumu kujua kwani maumbile yanawa-favor. Kwani wao hata wakiamua ku-pretend hutaweza kujua, mwingine waweza kukuta hata hamu hana lakini huwezi kujua.
 
wanawake wenyewe hawa kwa nini nguvu zisipungue?
553593_465239710159278_1454520336_n.jpg
 
Watu hawajiamini,mwanamme kamili bao la kwanza ni ndani ya dakika 1 hadi tano,sasa watu wamemezeshwa sumu kwamba lazima uende nusu saa bao 1 ukienda chini ya hapo basi una upungufu wa nguvu za kiume,wanaume tujiamini,kama unataka kupiga bao moja kwa nusu saa zipo njia natural(withdrawal) na great foreplay na si kutumia madawa,achaneni na hayo madawa.
Seconded!!!
 
Hawa Jamaaa kweli shule yao haiwasaidii...ratio ya Tz inaruhusu,nina wanawake wa4, acha nightstand ..niwapige 3 x 4/week ????? Its obvious watapigwa Moja moja wote..ya Nini Nijichoshe wakati Urithi wetu ..Mambo ya Kumpiga 3 au 4 hayapo siku izi.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

uKIZINGATIA NA HAKA KAUGONJWA KETU UKIJITIA UFUNDI MWINGI NI LAZIMA UUKWAE- KAMOJA TU KA HAMU KANATOSHA!!
 
nakubaliana na mdau kwa 100% hivi vitu tumevizuea sana kuviona hadharani inabidi wavisitiri kidogo
kweli kabisa wanaume wengi hatuna nguvu na inasababishwa na mambo mengi vyakula,ugumu wa maisha na wamawake wenyewe unakuta ofisin mwanmke kajaliwa hips halafu kavaa min ikiinama shida akikaa mbele yako tabu tupu sas wanaume tumeshazoea kuona maumbile ya kike kiholela kwa hiyo kunakuwa hamna cha ajabu hata hisia zinaisha zaman kuona chupi ya mwanamke ni ishu leo hii majumba chupi zote zinaanikwa sehemu moja hata ukiwa kwenye daladal lazima uone chupi in short macho yamezoea kuona maumbile ya kike ya siri ndio maana wadhungu wananyonyona sana ili kuweka ile kitu stable
 
Wanabodi.

Kaimu Mkurugenzi msaidizi wa Kitengo cha Tiba Asilia kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Paulo Mhame amesema wanaume wengi hawana nguvu za kiume.

Alisema pamoja na tatizo hilo kuwa kubwa, cha ajabu serikali bado haijakubali kutumia pesa kufanya utafiti wa kuandaa dawa ya kisasa ya kutibu matatizo ya nguvu za kiume...watu wengi wanamiminika kwa waganga wa asili kusaka dawa alisema.

Mpaka sasa waganga wa jadi zaidi ya 1,000 wamejiandikisha nchini kwa wanatoa dawa za kutibu upungufu wa nguvu za kiume,

Mkuregenzi .. I honestly beg to differ ... Hakuna Mapungufu ya Nguvu hata kidogo ... kuna matumizi yasiyo sahihi ya nguvu za kiume!! Wote hao wanaokwenda kutafuta dawa etc ... wako kwenye namna fulani ya abuse nguvu zao etc ...!!:coffee: ..!!
 
acha hizo wewe! kwa taarifa yako wanawake walioachika ndio wanasababisha maambukizi kwa asilimia kubwa wakifatiwa na wanawake/wasichana vyuoni.
kweli wewe NDAMANDOO yani kwa aili zako hao ndio wanaoambukiza ukimwi napata mshak akama mkuu NDAMANDOO unawaza kwakutumia ubongo au matope
 
Ah, hao mabodaboda wacha wawe wagumba wamalize kizazi cha mabodaboda, wahuni sana, last week mwenzao kaja kapita upande wa kushoto wakati nimesimamisha gari kumpisha mtoto avuke akaja kumgonga na kuanza kunishutumu mie wakajaa kama nzi pale, nina bahati nilikuwa na silaha wakasogea mbali leo ningekuwa marehemu kwa kosa la mhuni mwenzao nae kaanguka kaumia kichwa. Wakome though am sorried to the passengers!
Duh! Pole sana kwa mkasa. Ila kwa upande mwingine wanasaidia sana katika sekta ya usafiri sema hawana mwongozo
 
ritz wengine wananza kuchokonolewa chemba zao wakiwa wadogoooooooo! hata kama alizaliwa rijali unakuta baada ya muda na yeye ni victim, enzi hizo kabla sijaolewa nilikutana na mkaka, nikasema ni mkaka wa haja, ila wakati tunakiss for the first tym nikaona ukimshika makalio anapiga ukunga wa ajabu, nikasema hichi nini, hebu leo nijionee, ukimuweka v.i.d.o.l.e anafurahia mpaka basi anataka niendelee tu kumuweka tu, lakini ku-du ha du wala nini?? na hiyo ni miaka ya 2000 alikuwa 24yrs old mimi ndio tu nimemaliza A level. lol nilishangaa sana na ndio ukawa mwisho wangu mi na yy! so mambo mengi yanachangia now days guys kuwa hawako imara kama simba! ila huyo kaka anatamani kuwa normal mpaka kesho, hajaoa, ila huwa tunawasiliana na ninampa moyo kuwa akiamua anaweza kuacha na akawa mzima tena!
whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat??????????????????????
 
Back
Top Bottom