kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
Mungu ndiye mjuzi wa hayo.
Wanaume ukiachilia mbali tofauti ya umri hutumia nguvu na muda mwingi kutafuta. Katika utafutaji hupita katika maeneo hatarishi na kupata kemikali au gesi ambayo huua taratibu.
Wanaume wanaongoza kwa stress kutokana na familia na jamii inayowazunguka. Haya yote yanachangia ku accelerate death rate ya wanaume.
Wanaume ukiachilia mbali tofauti ya umri hutumia nguvu na muda mwingi kutafuta. Katika utafutaji hupita katika maeneo hatarishi na kupata kemikali au gesi ambayo huua taratibu.
Wanaume wanaongoza kwa stress kutokana na familia na jamii inayowazunguka. Haya yote yanachangia ku accelerate death rate ya wanaume.