Wanaume wembamba wana visa...

Shantel

JF-Expert Member
Feb 7, 2011
2,018
1,129
Habari wakuu, hivi mmenote wanaume wembamba sana wanapenda sana wanawake wanene?

Yaaani utakuta kijana mwembambaaa mwanamke wake mnene kupita kiasi, hii inatokana na nini? Kuna uwiano gani kati yao? Yaani kuna kaka mmoja mwembamba kama avatar ya fidel ila anapenda mizigo mikubwa ile mbaya, na sio huyo tu wengi nawaona mitaani mwanaume mwembamba mkewe kachana hatari, hii ndio kusema wembamba wanavutiwa na wanene au?
 
Nadhani inatokana na kutaka kupat utofauti. Kama kila siku unajiona kwenye kioo ukiwa mwembambaa, sasa kukiwa na mwanamke mnene,you really feel the difference!
 
Dah Shantel umenichekesha sana. Yaani kuna rafiki yangu mmoja hana tofauti sana na avatar ya fidel kwa wembamba lakini ukweli totoz anazobeba yeye ni ile chakula ya Eltoro ati.
 
Mm mwembamba,cpend wanene sn. .MY TAKE:dont generalize stereotype
 
Dah Shantel umenichekesha sana. Yaani kuna rafiki yangu mmoja hana tofauti sana na avatar ya fidel kwa wembamba lakini ukweli totoz anazobeba yeye ni ile chakula ya Eltoro ati.
Yaaani utakuta kamtu kembamba hatar ilakanang'ang'ania mdada mwenye bonge la wowowow, mpaka ukimwangalia na kupata picha kunako shughuli sijui inakuwaje
 
Habari wakuu, hivi mmenote wanaume wembamba sana wanapenda sana wanawake wanene?Yaaani utakuta kijana mwembambaaa mwanamke wake mnene kupita kiasi, hii inatokana na nini? kuna uwiano gani kati yao? Yaani kuna kaka mmoja mwembamba kama avatar ya fidel ila anapenda mizigo mikubwa ile mbaya, na sio huyo tu wengi nawaona mitaani mwanaume mwembamba mkewe kachana hatari, hii ndio kusema wembamba wanavutiwa na wanene au?

sababu za kimsingi zipo nyingi...............................ipo imani wembamba hao shaft zao ni kubwa na wanene nao mashine zao ni kubwa kwa hiyo wanarandana..........................lakini kubwa zaidi ni kuwa hisia za kutoshelezana.............................mnene huona akiwa na mwembamba watashibana................na kinyume chake..................................lakini penzi halina mipaka kwa hiyo usishangae kuona mizigo ikibebana.......................ukaanza kujiuliza hivi kuna kitanda kweli cha kuwabeba waheshimiwa hao......................................ubarikiwe Shantel..................
 
Hao watakuwa wanatafuta 'pakuponea'...sijui nisemeje

ufafanuzi wahitajika umeniacha kwenye mataa ya Ubungo......................."pakuponea" iko shida kidogo hapo...................
 
sababu za kimsingi zipo nyingi...............................ipo imani wembamba hao shaft zao ni kubwa na wanene nao mashine zao ni kubwa kwa hiyo wanarandana..........................lakini kubwa zaidi ni kuwa hisia za kutoshelezana.............................mnene huona akiwa na mwembamba watashibana................na kinyume chake..................................lakini penzi halina mipaka kwa hiyo usishangae kuona mizigo ikibebana.......................ukaanza kujiuliza hivi kuna kitanda kweli cha kuwabeba waheshimiwa hao......................................ubarikiwe Shantel..................


Ruta sioni thanks wala like
you've just spoken my mind
 
sababu za kimsingi zipo nyingi...............................ipo imani wembamba hao shaft zao ni kubwa na wanene nao mashine zao ni kubwa kwa hiyo wanarandana..........................lakini kubwa zaidi ni kuwa hisia za kutoshelezana.............................mnene huona akiwa na mwembamba watashibana................na kinyume chake..................................lakini penzi halina mipaka kwa hiyo usishangae kuona mizigo ikibebana.......................ukaanza kujiuliza hivi kuna kitanda kweli cha kuwabeba waheshimiwa hao......................................ubarikiwe Shantel..................
Hahahahaaaa inawezekana kwa kweli, sababu kama hakuna faida pale yule mdada bonge asingeganda kwa mtu mwembamba namna ile duuuuu
yaaani kwa kweli hawa naowajua mwanaume ni mwembamba kupitiliza...... na hii mzizigo inabidi ikachongeshe kitanda kwa mchomelea chuma loooo
 
Hahahahaaaa inawezekana kwa kweli, sababu kama hakuna faida pale yule mdada bonge asingeganda kwa mtu mwembamba namna ile duuuuu
yaaani kwa kweli hawa naowajua mwanaume ni mwembamba kupitiliza...... na hii mzizigo inabidi ikachongeshe kitanda kwa mchomelea chuma loooo

Duh....................................sina la kuongeza hapo..............................
 
Wanaume wembamba wengi wanakuwa na mafurushi hatari sana, ndio maana wadda vibonge huwang'ang'nia sana, na wao hawataki wasichana wembamba sababu ya vimifupa vyao "pelvic" wakiwa na wembamba wenzao wataumizana mifupa tu kwa msuguano ndio maana wanajisikia vizuri wakiwa na mizigo mikubwa..mie pia nimeona wengi tu wa aina hiyo na wako na furaha na mapenzi yao
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom