Wanaume wanatuchosha lakini hatusikii na wala hatuoni.

So sad jaman! Its up to us kinadada kuwa makini na watu wa namna hii, wanaume wengine ni hatari na kama wasemavyo "moyo ni giza nene huwezi jua yupi mkweli yupi tapeli" so ni vizuri kuwa alerted especially mwanaume anapotaka financial favours kutoka kwako, ni afadhali kufikiria kwa makini na kuchukua muda kutafakari au hata kutafuta ushauri kwa watu wengine. Inauma sana kwa kweli, so sorry kwa huyo mdada she did it out of love, hakujua kama jamaa angemtenda, 6 million debt na maisha yalivyo tight?Lord have mercy
 
Maisha ndo yalivyo, poleni sana kwa wale ambao yamewakuta kama hayo, lakini mtambue hata wanaume hutendwa sana na akina dada japokua ni wagumu wa kusema tu. Ni bora upoteze pesa kuliko kudhulumiwa penzi
 
Duh! inasikitisha sana kusema kweli...Ya nini kwenda kumuingiza mwenzio deni kubwa namna hiyo!? Kama ana ushahidi wa kumpa pesa hizo basi afikirie kumpandisha kizimbani. Wanaume wengine jamani Mhhhhh! Wanatisha! Kama penzi hakuna si bora uchukue hamsini zako tu kuliko kumtia hasara kubwa mdada wa watu!!!
Babu hutujui wanawake tukipenda
tunatoa kila kitu hata roho ikiwezekana pasi na kuandika ,tunaawaamini na tunaendelea kutendwa kila kukichaaaa,hii ni mpaka tutakapoanza kufanya maamuzi kutumia akili badala ya moyoooooo
ILA IKIFIKIA HATUA HIYO DUNIA ITAKUWA NI MAHALA PAGUMU PA KUISHI HASA KWA WANAUME
 
Hapo kwa mwanamke wenye akili angemshtukia. Mmekutana miezi mitatu. Ndani ya miezi mitatu anakupa milioni moja ya shopping. Ndani ya miezi mitatu hiyo hiyo anakuomba mkopo wa milioni sita. Halafu hapo mtu unakopesha tuu bila hata kufikiria mara mbili. Ina maana hata kabla ya kumkopesha hakuomba ushari kwenu nyie mashosti wake? Au aliomba ushauri na nyie mkaushari amkopeshe? Role ya mashosti iko wapi hapa? Mwanamke yoyote anayesoma hii post ajiweke kwenye mazingira ya huyo mwanamke. Je Ungekopesha?

EMT acha hasira bana, si ndo maana nikasema mnatuchosha lakini hatusikii wala hatuoni, jamaa alingia na gia ya kumwambia mwenzie mzigo wake umekwama na hamna mtu wa kuweza kumkopesha kiasi hicho cha pesa zaidi yake, ila pindi tu atakapokamilisha mambo yake atarudisha kiasi hicho cha pesa na pia wife to be angefurahi zaidi, yaani angepewa zaidi ya hiyo m6.
 
mpelekee pole zake ila isijekuwa ni wewe unatumia kigezo cha "rafiki yangu" si ndio style ya kuripoti matukio hapa jf? Pole sana

au ndio wale wanawake wanahonga mameniiii!!!!! Maana mie laki moja unajuta kuzaliwa!!!!!!!!!! Haya hizo biashara uliziona??? Haya makubaliano ya kulipa muliandikiana au ndio maloveeeeeeee hothot!!! Kweli kinyagoi cha mpapure mweeeeee
 
Embu dada zetu muache kukomalia tu wanaume wana tabia mbaya,ooh wanaume matapeli..Ukweli ni kwamba matapeli wapo wengi hata wanawake pia wapo...mimi namuona huyu dada kama mlemavu wa mapenzi,aidha anapenda sana na vibaya, ama ni mgeni katika mapenzi na alikolea kama moto wa kifuu..Kukopa mil 6 kwa ajili ya mpenzi mpya wa miezi 3,hata ingekuwa mwaka ni kumwamini mtu asilimia 99.9 wakati ndio kwanza umeanza nae mapenzi...Angekuwa mume ni sahihi kukopa kwa ajili yake mil 6...Kwa mpenzi mpya NO dada amepotea step..Sikatai hilo li jamaa ni tapeli na inaonekana huo ndio mchezo wake na huyo dada imekula kwake kamuazima kama mpenzi wake hakuna kusainishana wala nini hapo na ushahidi hakuna hivyo hakuna kesi...Dada zangu kuweni makini,ila kama hilo li huni linasoma haya ma post hapa lita twist hiyo technique,kwa hiyo kuweni makini zaidi...
 
Hii hatari sana mtu hamjafunga hata ndoa tayari unampatia 6m?sijui lkn nilishasema mwl wenu kipofu

Unafikiri umekosea baba, kipofu kweli kweli na sijui tumpeleke wapi angalau awe kengeza anaweza akajaribu kutuongoza. Yaani naona kosa letu ni kumuamini mtu jumla jumla, miezi mitatu unamkopea mtu mil 6, wakati ukiangalia angeweza kujikopea mwenyewe ili afungue hata kimradi uchwara!
 
Hapo kwa mwanamke wenye akili angemshtukia. Mmekutana miezi mitatu. Ndani ya miezi mitatu anakupa milioni moja ya shopping. Ndani ya miezi mitatu hiyo hiyo anakuomba mkopo wa milioni sita. Halafu hapo mtu unakopesha tuu bila hata kufikiria mara mbili. Ina maana hata kabla ya kumkopesha hakuomba ushari kwenu nyie mashosti wake? Au aliomba ushauri na nyie mkaushari amkopeshe? Role ya mashosti iko wapi hapa? Mwanamke yoyote anayesoma hii post ajiweke kwenye mazingira ya huyo mwanamke. Je Ungekopesha?


Sijui ni akili ya namna gani unazozizungumzia wewe, maana mdada ni msomi tena msomi haswa au ni akili za kujua mambo, nasikia kwenye mapenzi akili huwa zinahama, mtu unakuwa hujihelewi, labda na shosti wetu akili zilihama.
 
Kwangu mimi naona kitendo cha kupewa milioni moja ya shopping na kuombwa kukopwa milioni sita ndani ya miezi hiyo hiyo mitatu, kinge-raise dukuduku. Mwanaume gani anakupa milioni moja ya shopping na kukukopa milioni 6 at the same time? Nakurudisha kule kule. Within 3 months nakupa milioni moja ya shopping halafu ndani ya miezi hiyo hiyo mitatu nakuomba unikopeshe milioni sita. Kwako ina-make sense? To me it doesn't. Tena angemweleza tuu kuwa kwa kuwa hii pesa sio yangu na nimekopa osfisini basi naomba tuandikiane. Simple.

Mimi pole bado sitoi. Safina mwenye anaonyesha kumkandia jamaa tuu, as if shosti wake hajachemka hapo. Sio kwamba namfagilia mwizi, but aliyeibiwa naye akubali kuwa amechemsha kwanza. Kuna contributory negligence hapo. Akubali kwanza kuwa amefanya kosa na anajutia alichofanya. Kitu kingine, ina maana wakati anakopesha hakuwashtua mashosti wake kama Safina? Kama aliwaambia walimshauri kivipi? Au waliambiwa tuu alipopewa milioni moja ya shopping, lakini sio wakati anakopesha?

EMT ndugu yangu wewe onyesha hata huruma kidogo, michango yako ni mizuri lakini mbona haujaniambia nimsaidieje huyu my shost we umebaki kumlaumu tuuuuuuuuuu. Tunajua kabisa uamuzi aliouchukua wa kumkopesha jamaa hela ni mgumu, lakini sasa ndo kesha fanya tukiendelea kumlaumu uoni kwamba tutazidi kumchoma roho, hapa tunataka kumsaidia na ndo maana mashosti tumeamua kumchangia angalau basi apate hata kimoja kati ya hivyo viwili alivyopoteza, maana kuhusu mapenzi hatuwezi kumsaidia zaidi ya kumshauri kwamba amtoe huyo bwana akilini, aangalie vitu gani vizuri vinavyoweza kumsahaulisha jamaa, kama kujinunulia vitu vizuri, kuhama alipokuwa anakaa kama ni nyumba ya kupanga, kujisahaulisha yale mazuri yote aliyokuwa akitendewa na jamaa, na kukumbuka mabaya ya jamaa likiwemo hili la kumtapeli.
 
Binafsi sidhani kama ingeniingia akilini!Kwanza akianza tu kunihonga sijui million ya shopping naanza kumwogopa!

Mpenzi jamaa anapenda mambo makubwa kama nini? Kuanzia mavazi, usafiri, mahoteli ni makubwa makubwa t.
 
Galz....galz....galz.... come on, tutalia mpaka lini???Mapenzi mengine ni upumbavu tu!! How can u trust a guy ambae umekuwa nae only for 3months. Wake up dears, let us learn jaman hii mijanaume hii itatumaliza!!!

Kipipi mpenzi, naona wameshatumaliza kabisa.
 
hayo ndo madhara ya kavu... yaani utamu unakukolea mpaka unajaza form kuchukua loan ofisini kudadadeki...huyu jamaa atakuwa anajituma sana maana amefast track sana hii kitu na imekuwa positive...

ha ha ha ha ha ha jamaa atakua fundi!
 
Inasikitisha sana, mpe pole shoga yako lkn na sisi wadada tuwe tunajifunza asilimia kubwa ya wanaume ni matapeli na tena wanapenda sana kutumiaa mapenz kuwatapeli wadada so tuwe makini tusipende kuwaamini sana hao sio ndugu zetu, kuna mfanya kazi mwenzagu aliwahi kutapeliwa na mtu aliyekuwa akijiita mpenzi wake kumbe alikuwa anamzuga dada wawatu waliweza kuwa wote kwa mda wa miezi kama minne yule kaka aliigiza anampenda kweli hadi yule dada kafikia hatua ya kumpa yule kaka kadi yake ya benki yule mkaka, yule kaka alichofanya alisubiri yule dada kaenda kazini kaenda benki kakomba milioni tisa na kutoroka siku hiyohiyo na namba ya simu aliyokuwa anaitumia haikupatikana tena yule dada alichoambulia ni kuugua ugojwa ambao haujulikana alikuwa kama kichaa fulani hadi sasa akili yake haijarudi ktk hali yake ya kawaida

Huu sasa uongo! Unachukuaje hela nyingi kiasi hicho bank kwa kutumia kadi ya mtu mwingine? Ingekuwa kwenye ATM sawa, ila hapo inaonekana aliingia ndani kabisa. Haiwezekani ndugu
 
Huu sasa uongo! Unachukuaje hela nyingi kiasi hicho bank kwa kutumia kadi ya mtu mwingine? Ingekuwa kwenye ATM sawa, ila hapo inaonekana aliingia ndani kabisa. Haiwezekani ndugu
Jamani,hata ATM haiwezi to all that amount per day.The highest amount per day ninayoijua mm ni laki 5 NMB na hizi limits zimewekwa kwasababu za kiusalama upande wa hela za mteja incase mtu kaiba pword na card yake.Na kama ni ndani,je hawakumuidentify kwenye kitambulisho?na signature je?
 
EMT acha hasira bana, si ndo maana nikasema mnatuchosha lakini hatusikii wala hatuoni, jamaa alingia na gia ya kumwambia mwenzie mzigo wake umekwama na hamna mtu wa kuweza kumkopesha kiasi hicho cha pesa zaidi yake, ila pindi tu atakapokamilisha mambo yake atarudisha kiasi hicho cha pesa na pia wife to be angefurahi zaidi, yaani angepewa zaidi ya hiyo m6.

Hapo kwenye red ni wizi mtupu. Kadri unavyoandika ndivyo unavyoonyesha jinsi shosti alivyokuwa amechemka. Angekuwa makini hapo kwneye red nako angefikiria mara mbili.

Sijui ni akili ya namna gani unazozizungumzia wewe, maana mdada ni msomi tena msomi haswa au ni akili za kujua mambo, nasikia kwenye mapenzi akili huwa zinahama, mtu unakuwa hujihelewi, labda na shosti wetu akili zilihama.

Akili ya kawaida. Huitaji wala kwenda shule. Kwenye mapenzi akili zinaweza kuhama lakini sio ndani ya miezi mitatu.


EMT ndugu yangu wewe onyesha hata huruma kidogo, michango yako ni mizuri lakini mbona haujaniambia nimsaidieje huyu my shost we umebaki kumlaumu tuuuuuuuuuu. Tunajua kabisa uamuzi aliouchukua wa kumkopesha jamaa hela ni mgumu, lakini sasa ndo kesha fanya tukiendelea kumlaumu uoni kwamba tutazidi kumchoma roho, hapa tunataka kumsaidia na ndo maana mashosti tumeamua kumchangia angalau basi apate hata kimoja kati ya hivyo viwili alivyopoteza, maana kuhusu mapenzi hatuwezi kumsaidia zaidi ya kumshauri kwamba amtoe huyo bwana akilini, aangalie vitu gani vizuri vinavyoweza kumsahaulisha jamaa, kama kujinunulia vitu vizuri, kuhama alipokuwa anakaa kama ni nyumba ya kupanga, kujisahaulisha yale mazuri yote aliyokuwa akitendewa na jamaa, na kukumbuka mabaya ya jamaa likiwemo hili la kumtapeli.

Sasa hapo utamsaidia nini? kweli jamaa kamtapeli lakini naye katapeliwa kirahisi mno. Mchango wangu ajifunze kutokana na kosa alilofanya. Sidhani kama kuna kingine cha kumsadia, unless mna mpango wa kutafutia mwanaume mwingine. Kama walikuwa wameandikishana huo mkopo ungesema labda achukue hatua za kisheria. Lakini kama alinogewa penzi hivyo sifhani kama atakuwa nao.
 
Hawa wanaume hawaaaaaaa!! Dah, bora hii dunia tungeumbwa peke yetu. Mpe pole mdada, mwambie hizo ni changamoto tu za kumuweka imara na maisha lazima yasonge mbele.
 
hamuwezi kusikia coz mpo kifedha zaidi, hamna mapendo ya dhati zaidi wa wizi through mapenz!
 
Back
Top Bottom