So sad jaman! Its up to us kinadada kuwa makini na watu wa namna hii, wanaume wengine ni hatari na kama wasemavyo "moyo ni giza nene huwezi jua yupi mkweli yupi tapeli" so ni vizuri kuwa alerted especially mwanaume anapotaka financial favours kutoka kwako, ni afadhali kufikiria kwa makini na kuchukua muda kutafakari au hata kutafuta ushauri kwa watu wengine. Inauma sana kwa kweli, so sorry kwa huyo mdada she did it out of love, hakujua kama jamaa angemtenda, 6 million debt na maisha yalivyo tight?Lord have mercy